Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Amina (Guest) on July 22, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on June 24, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Martin Otieno (Guest) on June 2, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sharifa (Guest) on May 25, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mgeni (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Sumari (Guest) on May 4, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on April 30, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Shamim (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Michael Onyango (Guest) on April 22, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Monica Nyalandu (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Jafari (Guest) on April 3, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Elizabeth Mrope (Guest) on April 2, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on March 14, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Furaha (Guest) on February 14, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Wangui (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Henry Mollel (Guest) on January 27, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on January 9, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zainab (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Bahati (Guest) on December 26, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Malecela (Guest) on November 27, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kiza (Guest) on October 26, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on October 21, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on October 12, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on September 27, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on September 2, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on August 21, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 19, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Komba (Guest) on July 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Musyoka (Guest) on June 22, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Lucy Mushi (Guest) on May 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

David Ochieng (Guest) on May 22, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 15, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on April 25, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Latifa (Guest) on April 21, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

James Kimani (Guest) on April 12, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 10, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Malecela (Guest) on March 23, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on March 14, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarah Achieng (Guest) on January 19, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Mollel (Guest) on December 24, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on December 14, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Fredrick Mutiso (Guest) on December 14, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Lowassa (Guest) on November 12, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on November 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on September 30, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lydia Mahiga (Guest) on September 17, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine Nduta (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Hassan (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 16, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rahim (Guest) on May 8, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Zawadi (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Josephine (Guest) on April 24, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on April 11, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on March 29, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Zakia (Guest) on March 27, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Related Posts

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?