Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Chum (Guest) on December 4, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 30, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on November 1, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Miriam Mchome (Guest) on October 29, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Minja (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Robert Okello (Guest) on September 10, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sekela (Guest) on August 29, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on August 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on July 3, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kiza (Guest) on June 10, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Miriam Mchome (Guest) on June 8, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Wande (Guest) on June 4, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on May 23, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Muslima (Guest) on May 16, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on May 9, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on April 30, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Irene Makena (Guest) on April 10, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Jamila (Guest) on April 8, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 3, 2019

😊🀣πŸ”₯

Anna Malela (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

George Mallya (Guest) on March 14, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 22, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ann Awino (Guest) on January 24, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on January 23, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on January 2, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 23, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on December 10, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Samuel Omondi (Guest) on September 29, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Omar (Guest) on September 29, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Amani (Guest) on September 25, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Agnes Njeri (Guest) on August 31, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on August 27, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on August 18, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Macha (Guest) on August 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Athumani (Guest) on June 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mchuma (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on May 30, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Maimuna (Guest) on April 27, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jane Malecela (Guest) on April 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on March 12, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Victor Sokoine (Guest) on February 13, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on January 7, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on January 1, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Amani (Guest) on December 25, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mahiga (Guest) on December 20, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Sokoine (Guest) on December 15, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on December 10, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Kimaro (Guest) on October 17, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Nchi (Guest) on October 4, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on August 31, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mchome (Guest) on August 11, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on August 1, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Kamande (Guest) on July 31, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on July 27, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Kahina (Guest) on July 12, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Related Posts

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About