Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!

Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Onyango (Guest) on July 6, 2019

Asante Ackyshine

Samuel Omondi (Guest) on June 24, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on June 17, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Zakaria (Guest) on May 21, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Wande (Guest) on May 11, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mrope (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Zakaria (Guest) on March 30, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam Hassan (Guest) on March 11, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Faiza (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ali (Guest) on February 5, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwanaisha (Guest) on February 2, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on January 19, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on December 4, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Masika (Guest) on November 19, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mohamed (Guest) on November 15, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Anna Malela (Guest) on October 9, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on September 16, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Brian Karanja (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on September 15, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shamim (Guest) on September 10, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Raha (Guest) on September 3, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Faith Kariuki (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on August 28, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on August 15, 2018

😊🀣πŸ”₯

Philip Nyaga (Guest) on August 14, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Masika (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on July 20, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Stephen Mushi (Guest) on June 6, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Karani (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anthony Kariuki (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Malisa (Guest) on April 8, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on March 24, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on March 17, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Kamande (Guest) on February 5, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nasra (Guest) on December 30, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Hellen Nduta (Guest) on December 17, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on November 18, 2017

🀣πŸ”₯😊

Edith Cherotich (Guest) on November 18, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on November 11, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on October 26, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Betty Akinyi (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on September 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on August 17, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 31, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on July 26, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on July 16, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwakisu (Guest) on July 14, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Patrick Mutua (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joyce Mussa (Guest) on June 20, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on June 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 31, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Kitine (Guest) on April 27, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sharifa (Guest) on March 31, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Related Posts

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

πŸ“– Explore More Articles