Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani?

Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu nimenunua JANA,ELFU 50, akanipa LAKI MOJA,nikanunue mbili,yake na ya mke wake. Sa najaribu kumuuliza Mungu,kwanini kaamua kuniadhibu mbele ya mchungaji bila hata kunionya!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kijakazi (Guest) on July 20, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Mboje (Guest) on July 1, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Samson Tibaijuka (Guest) on May 22, 2024

Asante Ackyshine

Sarah Achieng (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Salma (Guest) on May 3, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Omar (Guest) on May 3, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Victor Sokoine (Guest) on March 30, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 25, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khalifa (Guest) on March 25, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Kijakazi (Guest) on March 19, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mchome (Guest) on March 10, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ibrahim (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Daniel Obura (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 12, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 4, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Kawawa (Guest) on January 30, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 7, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Fadhili (Guest) on December 6, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Yahya (Guest) on November 19, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Mushi (Guest) on November 8, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on November 3, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Saidi (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Muslima (Guest) on October 8, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Kevin Maina (Guest) on October 8, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

John Malisa (Guest) on October 6, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on September 28, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on September 27, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Paul Kamau (Guest) on August 27, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 9, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdillah (Guest) on July 1, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mhina (Guest) on June 10, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Muslima (Guest) on May 27, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakia (Guest) on April 29, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on April 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 12, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Malima (Guest) on April 11, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zainab (Guest) on March 29, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Lissu (Guest) on January 17, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 5, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mercy Atieno (Guest) on December 19, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on December 18, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Elizabeth Malima (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Njeru (Guest) on November 4, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on October 7, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Peter Tibaijuka (Guest) on September 19, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on September 10, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Jabir (Guest) on August 15, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Samuel Omondi (Guest) on August 1, 2022

😊🀣πŸ”₯

James Kawawa (Guest) on July 27, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Umi (Guest) on July 26, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sarah Mbise (Guest) on July 7, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Shabani (Guest) on June 23, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Stephen Malecela (Guest) on June 3, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mzee (Guest) on May 19, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Related Posts

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

πŸ“– Explore More Articles