Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 236

Please log in or register to comment or reply.
👥 Samson Tibaijuka Guest Oct 11, 2019
Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏
👥 Isaac Kiptoo Guest Aug 15, 2019
😅😂😄
👥 Francis Njeru Guest Jul 29, 2019
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! 😄
👥 Zakaria Guest Jul 18, 2019
Hii kichekesho imenifurahisha sana—imebamba! 🤣
👥 Ruth Wanjiku Guest Jul 9, 2019
Nimeipenda hii joke! 😄😂
👥 Charles Wafula Guest Jul 9, 2019
Hii imenikuna sana! 😆😅
👥 Michael Mboya Guest Jul 5, 2019
😂🤣😊😅
👥 Peter Mwambui Guest Apr 10, 2019
😂😅
👥 Stephen Mushi Guest Apr 1, 2019
Hii imenifurahisha sana! 😂😂
👥 Kenneth Murithi Guest Mar 23, 2019
Hii ni ya kufurahisha! 😄😅
👥 Bernard Oduor Guest Mar 21, 2019
Hii imenibamba sana! 😅🤣
👥 Peter Otieno Guest Feb 28, 2019
😆 Siwezi kuacha kucheka!
👥 Faith Kariuki Guest Feb 19, 2019
😂 Kali sana!
👥 Sarah Achieng Guest Feb 18, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣
👥 Esther Nyambura Guest Feb 15, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆
👥 George Tenga Guest Jan 8, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣
👥 Khadija Guest Dec 30, 2018
😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!
👥 Michael Mboya Guest Dec 23, 2018
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆
👥 Nancy Akumu Guest Dec 5, 2018
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂
👥 Wande Guest Nov 27, 2018
🤣 Kichekesho bora kabisa!
👥 Ali Guest Nov 16, 2018
😆 Ninakufa hapa!
👥 Josephine Nekesa Guest Nov 16, 2018
🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!
👥 Joy Wacera Guest Nov 11, 2018
😂 Lazima nihifadhi hii!
👥 Esther Cheruiyot Guest Nov 1, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄
👥 Victor Kimario Guest Oct 25, 2018
😊😂😅👏
👥 Maulid Guest Oct 14, 2018
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣
👥 Hekima Guest Sep 23, 2018
Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁
👥 Alice Jebet Guest Sep 12, 2018
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯
👥 Nora Lowassa Guest Sep 9, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏
👥 John Lissu Guest Aug 28, 2018
😂🤣😆😅
👥 Joseph Njoroge Guest Aug 19, 2018
😊🤣🔥
👥 Mariam Kawawa Guest Aug 4, 2018
😆 Bado nacheka!
👥 Mary Kidata Guest Jul 6, 2018
😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
👥 Halimah Guest Jun 2, 2018
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁
👥 Chris Okello Guest Jun 1, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣
👥 George Wanjala Guest May 31, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏
👥 George Ndungu Guest May 6, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆
👥 Vincent Mwangangi Guest May 5, 2018
Hii ni bomba sana! 🤣👍
👥 Lucy Mushi Guest May 2, 2018
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆
👥 Muslima Guest Apr 27, 2018
😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
👥 Elizabeth Malima Guest Apr 26, 2018
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆
👥 Josephine Nduta Guest Apr 20, 2018
🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
👥 Janet Wambura Guest Apr 20, 2018
Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂
👥 Sarafina Guest Mar 13, 2018
😄 Dhahabu ya vichekesho!
👥 Violet Mumo Guest Mar 12, 2018
😅😂👌😊
👥 Agnes Njeri Guest Feb 28, 2018
Sikutarajia hiyo punchline—kichekesho! 🤣
👥 Josephine Nduta Guest Feb 24, 2018
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣
👥 Edward Chepkoech Guest Feb 8, 2018
😂🤣😆👏
👥 Moses Mwita Guest Jan 31, 2018
Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣
👥 Agnes Sumaye Guest Jan 12, 2018
Nimecheka hadi machozi 🤣😭
👥 Samuel Omondi Guest Jan 2, 2018
Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏
👥 Moses Kipkemboi Guest Jan 1, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅
👥 David Musyoka Guest Jan 1, 2018
😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!
👥 Jane Muthui Guest Dec 22, 2017
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂
👥 Diana Mumbua Guest Dec 12, 2017
🤣 Ninaituma sasa hivi!
👥 Mariam Guest Dec 9, 2017
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰
👥 Nicholas Wanjohi Guest Nov 30, 2017
Umesema kweli! 👌😂
👥 Peter Otieno Guest Nov 12, 2017
🤣🤣😄😆
👥 Janet Mbithe Guest Oct 17, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣
👥 Violet Mumo Guest Aug 24, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

🔗 Related Posts

🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About