Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Wairimu (Guest) on May 23, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 18, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on May 15, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Sokoine (Guest) on May 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Malima (Guest) on April 20, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alex Nyamweya (Guest) on April 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

James Kimani (Guest) on April 9, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Arifa (Guest) on April 7, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Yusuf (Guest) on March 2, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Musyoka (Guest) on February 22, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omar (Guest) on February 10, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Sumari (Guest) on February 2, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 24, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on January 11, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Azima (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Edith Cherotich (Guest) on November 21, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on October 15, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on October 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on October 9, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Abdillah (Guest) on June 21, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Samuel Were (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on June 5, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

David Chacha (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Sarah Achieng (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Diana Mallya (Guest) on April 2, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on March 27, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on March 13, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on February 10, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on February 2, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Patrick Kidata (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on November 28, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Hellen Nduta (Guest) on November 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Majid (Guest) on November 1, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Christopher Oloo (Guest) on October 28, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on October 25, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nora Lowassa (Guest) on October 6, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on October 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Agnes Sumaye (Guest) on September 27, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on September 24, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Komba (Guest) on September 24, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ann Awino (Guest) on September 20, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Furaha (Guest) on September 12, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 25, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Catherine Naliaka (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joseph Kawawa (Guest) on August 3, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on July 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on July 12, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Wilson Ombati (Guest) on July 11, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on July 1, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mwakisu (Guest) on May 31, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on April 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Rukia (Guest) on April 17, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Related Posts

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About