Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care.. BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque GIRL: Baby u are awesome… BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula…. GIRL: Enhee…na sisi?? BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives GIRL: Baby I love you BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko?? BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Violet Mumo (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Josephine Nduta (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Fikiri (Guest) on June 12, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on March 27, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Ochieng (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kawawa (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on November 9, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on October 26, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Aziza (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Lissu (Guest) on September 26, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

David Musyoka (Guest) on September 25, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salma (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Linda Karimi (Guest) on August 1, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on July 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Salma (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Akoth (Guest) on June 29, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on June 28, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mtaki (Guest) on May 16, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Faiza (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on April 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mahiga (Guest) on March 19, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on March 14, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Abubakari (Guest) on March 9, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on February 24, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on February 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Christopher Oloo (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Frank Macha (Guest) on February 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jacob Kiplangat (Guest) on February 7, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Njuguna (Guest) on January 21, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on January 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on January 18, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Monica Nyalandu (Guest) on November 30, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on November 6, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 3, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mjaka (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Wilson Ombati (Guest) on October 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on October 24, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hamida (Guest) on October 8, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Mwalimu (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Maulid (Guest) on August 16, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rubea (Guest) on July 19, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on May 15, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Irene Makena (Guest) on May 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 7, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About