Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Kidata (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on March 23, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 11, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumari (Guest) on February 21, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumari (Guest) on February 6, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 12, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on January 3, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mgeni (Guest) on December 14, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mariam Kawawa (Guest) on December 13, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Chiku (Guest) on December 8, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 7, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Lissu (Guest) on November 17, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khadija (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Joy Wacera (Guest) on October 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 27, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ibrahim (Guest) on August 14, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on August 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on August 4, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Chum (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joseph Kawawa (Guest) on June 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Issa (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Paul Ndomba (Guest) on May 8, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on March 18, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Mutheu (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Michael Mboya (Guest) on January 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on January 23, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edith Cherotich (Guest) on December 24, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Shamsa (Guest) on December 21, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nyota (Guest) on December 17, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Njuguna (Guest) on December 2, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kijakazi (Guest) on November 22, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sarafina (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Monica Lissu (Guest) on November 8, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Benjamin Kibicho (Guest) on October 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on September 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on August 28, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Kamau (Guest) on August 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Baraka (Guest) on August 10, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanakhamis (Guest) on August 10, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Shukuru (Guest) on August 5, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on July 17, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mahiga (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sekela (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Dorothy Nkya (Guest) on May 29, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on May 6, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on April 22, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More