Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani nikatamani fursana nikaingia kijisupermarket mara sindo nakutana na ex wangu! Mshenzi yule kaniona mimi sijui alikua na mpango wa kununua vocha ya jero eti kabadili kanunua vocha ya buku tano ilimradi nione maisha yake safi tangu tuachane. Mambo ya kijinga spendi kudadeky nimetoa buku kumi nikanunua mipampers nami nijifanye nimeowa nina mtoto halafu huyoo nikashika njia yangu.

Sasa washkaji zangu tafadhalini mwenye mtoto au shida ya pampers naomba anunue kwangu maana leo nalala tena kiza πŸ™†β€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Lissu (Guest) on June 15, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on June 14, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kevin Maina (Guest) on June 9, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Malima (Guest) on May 21, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Christopher Oloo (Guest) on May 20, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

James Mduma (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on May 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on April 30, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on April 13, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 21, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mwagonda (Guest) on March 14, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Moses Kipkemboi (Guest) on March 11, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on January 31, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Vincent Mwangangi (Guest) on January 16, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on October 16, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 14, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Anna Malela (Guest) on October 13, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Cheruiyot (Guest) on September 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Baraka (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Anna Kibwana (Guest) on August 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on August 6, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 21, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Ann Awino (Guest) on June 19, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rose Lowassa (Guest) on June 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on June 3, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Agnes Lowassa (Guest) on May 30, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on April 13, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Abdillah (Guest) on March 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mjaka (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mahiga (Guest) on February 16, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 7, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Richard Mulwa (Guest) on December 17, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on December 1, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Wambui (Guest) on December 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Anna Mchome (Guest) on November 9, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Abdillah (Guest) on November 6, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nancy Kawawa (Guest) on October 31, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on October 10, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanakhamis (Guest) on August 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Maida (Guest) on August 26, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Bakari (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Kassim (Guest) on August 4, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mary Mrope (Guest) on July 24, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on June 23, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on June 10, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joseph Kawawa (Guest) on May 24, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on May 11, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on May 9, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on April 13, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joyce Mussa (Guest) on April 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles