Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoido…..leo nimetoka Likizo Moshi,

"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!

Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!…kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?…kwa Style ipi?

Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!…sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,…hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,….hapa sasa nikapata wazo!

"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''

"Mia mbili tu Kaka!"

''Ok"

Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,

"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)

"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''

Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!…Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!…My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!

"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"

Kimya…

"Dogo huu Mzani vipi?"

Kimya…

Dogo ana dharau huyu!…Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!….ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!…Dogo hakuwepo!….na Mabegi pia hayapo!…lap top haipo!….NIMEPIGWA!

Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!….sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!…yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!…niitieni Ambulance!

πŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌ

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 236

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Jun 21, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Jun 4, 2017
Nimecheka hadi machozi 🀣😭
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest May 25, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Mwanaisha Guest Apr 30, 2017
😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Apr 12, 2017
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Mar 10, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘
πŸ‘₯ David Musyoka Guest Mar 1, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚
πŸ‘₯ Aziza Guest Feb 15, 2017
πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!
πŸ‘₯ George Tenga Guest Feb 13, 2017
🀣 Sikutarajia hiyo!
πŸ‘₯ Wande Guest Feb 8, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣
πŸ‘₯ David Musyoka Guest Jan 25, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Jan 20, 2017
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘
πŸ‘₯ Kijakazi Guest Jan 19, 2017
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest Dec 9, 2016
πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Khalifa Guest Nov 2, 2016
πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Oct 6, 2016
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚
πŸ‘₯ George Tenga Guest Aug 25, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Aug 8, 2016
Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Jul 25, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Jul 19, 2016
πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Jul 17, 2016
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ James Malima Guest Jul 6, 2016
🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Jun 22, 2016
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Jun 17, 2016
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Jun 16, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Jun 15, 2016
πŸ˜… Bado nacheka!
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest May 17, 2016
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…
πŸ‘₯ Lydia Mzindakaya Guest Apr 6, 2016
πŸ˜† Bado nacheka!
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Mar 20, 2016
Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Feb 25, 2016
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Feb 5, 2016
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Feb 1, 2016
Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Jan 26, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Jan 21, 2016
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚
πŸ‘₯ Biashara Guest Jan 9, 2016
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†
πŸ‘₯ Rubea Guest Jan 8, 2016
πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!
πŸ‘₯ Kahina Guest Dec 13, 2015
πŸ˜† Naihifadhi hii!
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Nov 11, 2015
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Nov 5, 2015
πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Oct 26, 2015
Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ
πŸ‘₯ John Lissu Guest Oct 19, 2015
πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Sep 29, 2015
πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Sep 23, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Rose Amukowa Guest Sep 18, 2015
😊🀣πŸ”₯
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Sep 17, 2015
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†
πŸ‘₯ Maneno Guest Sep 7, 2015
πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Sep 6, 2015
🀣 Ninaituma sasa hivi!
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Aug 27, 2015
Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†
πŸ‘₯ John Lissu Guest Aug 20, 2015
Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Tambwe Guest Jul 29, 2015
Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣
πŸ‘₯ Salum Guest Jul 21, 2015
🀣 Nalia kwa kicheko kweli!
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest Jul 10, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Jun 2, 2015
πŸ˜† Naihifadhi hii!
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest May 31, 2015
πŸ˜‚πŸ˜†
πŸ‘₯ Lucy Kimotho Guest May 14, 2015
Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†
πŸ‘₯ Tabu Guest Apr 6, 2015
😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About