Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake. chupa ya pili 🍺🍺 kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi…. Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua. Bia ya tatu 🍺🍺🍺 huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza….. Bia ya nne 🍺🍺🍺🍺 huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki. Bia ya tano 🍺🍺🍺🍺🍺 ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; β€˜Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au β€˜ Mume wangu sijui yukoje hanijali’ Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole. Kuanzia bia ya sita 🍺🍺🍺🍺🍺🍺 na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. ……. …Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni. Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika…….
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kenneth Murithi (Guest) on June 27, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on May 22, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on April 25, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on April 18, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on April 17, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ramadhan (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Yahya (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mercy Atieno (Guest) on February 27, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on February 17, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on January 12, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on December 10, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on November 9, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Mahiga (Guest) on October 24, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Wambura (Guest) on September 27, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Peter Mbise (Guest) on September 7, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jamila (Guest) on August 28, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Alice Wanjiru (Guest) on August 19, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Yahya (Guest) on August 14, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Juma (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Faith Kariuki (Guest) on July 31, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on July 29, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on July 18, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Latifa (Guest) on July 13, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on July 12, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on June 29, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Lucy Kimotho (Guest) on June 26, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Salima (Guest) on June 25, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Waithera (Guest) on June 24, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on June 22, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on June 16, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on June 9, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on February 23, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on January 31, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on December 20, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Edith Cherotich (Guest) on December 15, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on October 25, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Chris Okello (Guest) on September 10, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Malisa (Guest) on August 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

George Wanjala (Guest) on July 13, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Mwambui (Guest) on July 11, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on June 18, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mahiga (Guest) on February 17, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on February 16, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on January 12, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mjaka (Guest) on January 5, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Mrope (Guest) on December 25, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on November 23, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Alex Nakitare (Guest) on November 8, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on November 6, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More