Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana. Wakaingia msituni kila mtu njia yake. … Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa. Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa. Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?” Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salima (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on February 5, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Malima (Guest) on January 8, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nyota (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Michael Mboya (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Wilson Ombati (Guest) on November 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on November 16, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Raphael Okoth (Guest) on November 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on September 30, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Hashim (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Janet Sumaye (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Khadija (Guest) on July 29, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on July 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on May 31, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on April 24, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kabura (Guest) on April 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

John Lissu (Guest) on April 12, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on April 1, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 25, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on March 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on March 14, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Sokoine (Guest) on March 10, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on March 2, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ruth Kibona (Guest) on January 17, 2016

🀣πŸ”₯😊

Wilson Ombati (Guest) on December 26, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 21, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kiza (Guest) on December 21, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on December 16, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on December 5, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mgeni (Guest) on November 14, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Mjaka (Guest) on October 24, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Kawawa (Guest) on October 1, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Tambwe (Guest) on September 24, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mwikali (Guest) on September 23, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on August 12, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Jackson Makori (Guest) on August 6, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on July 27, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Frank Macha (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on June 20, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on June 14, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 17, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on May 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

David Sokoine (Guest) on May 4, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on April 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More