Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 24, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ramadhan (Guest) on September 27, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

George Wanjala (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sumaya (Guest) on June 11, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

James Kawawa (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Musyoka (Guest) on March 17, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Okello (Guest) on February 22, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Bahati (Guest) on February 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Agnes Lowassa (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Paul Ndomba (Guest) on January 2, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on December 13, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 23, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on October 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Abdillah (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Aoko (Guest) on August 30, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mjaka (Guest) on August 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Kabura (Guest) on June 30, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Arifa (Guest) on June 10, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Zulekha (Guest) on May 31, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Catherine Naliaka (Guest) on May 30, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on May 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Neema (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Christopher Oloo (Guest) on April 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on April 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Faiza (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 28, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Mahiga (Guest) on February 22, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Aziza (Guest) on February 17, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Simon Kiprono (Guest) on February 4, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Musyoka (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on December 24, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on December 12, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 4, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on November 19, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Philip Nyaga (Guest) on November 17, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Ndungu (Guest) on November 8, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Hawa (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ann Wambui (Guest) on October 15, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on September 14, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on September 13, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on September 8, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on September 8, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jackson Makori (Guest) on August 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on July 6, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on June 20, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on May 19, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on May 2, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sarah Karani (Guest) on April 15, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 14, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Aziza (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Hashim (Guest) on April 7, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About