Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care.. BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque GIRL: Baby u are awesome… BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula…. GIRL: Enhee…na sisi?? BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives GIRL: Baby I love you BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko?? BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lucy Wangui (Guest) on July 22, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mahiga (Guest) on June 8, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on April 28, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on April 13, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on April 3, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on March 21, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Faith Kariuki (Guest) on March 17, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Samuel Were (Guest) on February 21, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on February 15, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Kabura (Guest) on February 1, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanaidi (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarafina (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Malima (Guest) on December 6, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on October 13, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on September 1, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mustafa (Guest) on August 7, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Carol Nyakio (Guest) on July 23, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Zakaria (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nora Kidata (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on June 29, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Abdillah (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Kimario (Guest) on May 14, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on April 24, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mrope (Guest) on March 5, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on February 28, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Majid (Guest) on February 22, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Janet Mwikali (Guest) on February 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Awino (Guest) on January 8, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on December 27, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Mduma (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on December 9, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on December 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Binti (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Nkya (Guest) on November 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on October 24, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Malela (Guest) on October 20, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Catherine Naliaka (Guest) on October 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Faiza (Guest) on September 20, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Amani (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on September 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on August 10, 2022

😊🀣πŸ”₯

Peter Mbise (Guest) on June 17, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on June 5, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Nashon (Guest) on May 23, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on May 11, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on April 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 24, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Malima (Guest) on January 16, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Warda (Guest) on January 10, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About