Jinsi ya kupika Pilau Ya Nyama Ya Ng'ombe Na Nyanya
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: April 10, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Mchele (Basmati) 3 vikombe
Nyama ya ngoโmbe 1ย kg
Pilipili boga 1 kubwa
Nyanya 2 kubwa
Vitunguu maji 2 vikubwa
Kitunguu saumu(thomu/galic) iliyosagwa 1 kijiko cha supu
Tangawizi 1 kijiko cha chai
Ndimu 1
Mafuta ya kupikia ยฝ kikombe
Mdalasini ยฝ kijiko cha chai
Binzari nyembamba 1 kijiko cha chai
Pilipili manga ยฝ Kijiko cha chai
Hiliki ยฝ Kijiko cha chai
Jinsi ya kuandaa na kupika
Loweka mchele wako katika chombo
Chukuwa nyama na ioshe vizuri na itie thomu, tangawizi, ndimu, pilipili manga na chumvi kiasi
Iweke jikoni hadi ikauke maji na kuwa imewiva huku ukiikaanga kaanga kwa hayo hayo mafuta yake hadi kuwa rangi ya hudhurungi
katakata Vitunguu na nyanya weka pembeni
Chukua pilipili boga, thomu, tangawizi na visage katika mashine ya kusagia
Weka sufuria pembeni na utie mafuta, subiri yapate moto
Kisha tia vitunguu na vikaange hadi kuwa hudhurungi na tia nyanya
Kisha mimina mchanganyiko wako ulio usaga wa pilipili boga, thomu na tangawizi
Koroga kwa dakika kadhaa Kisha mininia nyama uliyokuwa tayari, maji kiasi na chumvi wastani na subiri maji hayo yachemke
Weka mchele humo na koroga kiasi na onja chumvi kama ipo sawa au kama ndogo unaweza kuongeza
Funika na punguza moto na uache uive taratibu
Baada ya kukauka maji kabisa basi ugeuze na subiri tena kwa dakika kama mbili na tayari kuliwa.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Viazi - 3lb
Nyama - 1lb
Kitunguu - 1
Nyanya - 2
Kitunguu...
Read More
Jinsi ya Kujiandaa kwa Chakula cha Wiki Nzima cha Lishe Bora ๐ฅ
Hakuna jambo bora kuliko...
Read More
1. Chakula
ni kitu chochote kinacholiwa au kunywewa na kuupatia mwili virutubishi mbalimb...
Read More
VIAMBAUPISHI
Tende zilizotolewa kokwa - 1 Kilo
Cornflakes - 1 ยฝ kikombe
Lozi...
Read More
Viambaupishi
Siagi 100gm
Unga wa kaukau (cocoa powder) 2 Vijiko vya supu
Mazi...
Read More
MAHITAJI
Mchele Basmati - Mugs 2 ยฝ
Vitunguu (Vikubwa kiasi) - 3
Tuna - Vibat...
Read More
Wakati mwingine mtu unakuwa umechoka na usingependa kupoteza muda jikoni, so mlo wa chapchap unak...
Read More
Mahitaji
Makongoro (miguu ya ng'ombe) kiasi
Limao 1 kubwa
Kitunguu swaum
T...
Read More
Viamba upishi
Unga wa ngano vikombe vikubwa 3
Boga lililopondwa kikombe 1
Bakin...
Read More
Viamba upishi
Unga 2 Vikombe
Samli au shortening ya mboga 2 Vijiko vya supu
Maz...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga wa ngano - magi 2 (vikombe vikubwa)
Hamira kijiko 1 cha chai
<...
Read More
โข Kula chakula bora kunamaanisha kula vyakula aina tofauti ya vyakula kila siku kama vile matun...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!