Jinsi ya kupika Biskuti Za Tende
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viamba upishi
Unga 4 Vikombe vya chai
Sukari ya laini (icing sugar) 1 Kikombe cha chai
Baking powder 2 Vijiko vya chai
Mayai 2
Siagi au margarine 1 Kikombe cha chai
Vanilla 1 Kijiko cha chai
Maziwa ya kuchanganyia kiasi
Tende iliyotolewa koko 1 Kikombe
ufuta (sasame) kiasi 1/4 kikombe
Jinsi ya kuandaa na kupika
1. Changanya unga, siagi, baking powder, na sukari katika mashine.
2. Kisha tia mayai, vanilla na halafu maziwa kidogo kidogo hadi mchanganyiko ushikamane.
3. Gawanya madonge mawili na usukume kama chapati, lakini sio nyembamba sana.
4. Tandaza tende robo ya duara na unyunyize ufuta duara zima: kisha kunja hadi mwisho na ukate kate, kisha upange katika trei ya kuvumbika.
5. Vumbika (bake) moto wa 350ยฐF kwa muda wa dakika 20 au hadi vigeuke rangi na viwive.
6. Zikisha iiva ziache zipowe na zitakuwa tayari kuliwa.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Mbatata / viazi - 2 kilo
Nyama ngโombe - ยฝ kilo
Kitunguu maji - 2...
Read More
Viambaupishi
Sosi Ya tuna
Tuna (samaki/jodari) 2 Vikopo
Vitunguu (kata kata) ...
Read More
Mahitaji
Mpunga - 4 vikombe
Nyama - 1 kilo moja
Kitunguu maji - 3
Mbata...
Read More
Mahitaji
Muhogo - 3
Tui La Nazi - 2 vikombe
Chumvi - kiasi
Pilipili mbi...
Read More
Biriani ni miongoni mwa vyakula ambavyo ni nadra sana kupikwa katika familia nyingi tofauti na vy...
Read More
Viambaupishi
Kuku (mkate mkate vipande) 1
Mchele wa Basmati (rowanisha) 3 magi
<...
Read More
Mahitaji
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya ...
Read More
Mahitaji
Viazi (potato 1/2 kilo)
Samaki (fish 2)
Asparagus 8
Kitunguu kili...
Read More
Mahitaji
Tambi (Spaghetti)
Nyama ya kusaga
Kitunguu maji
Nyanya ya kopoRead More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour) 100g
Sukari (sugar) 100g
Siagi isiyok...
Read More
Viambaupishi
Vipimo vya Wali:
Mchele 3 vikombe
*Maji ya kupikia 5 vikombe
...
Read More
Viamba upishi
Maziwa ya unga 2 vikombe
Sukari 3 vikombe
Maji 3 vikombe
...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!