Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Tende Na Ufuta

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

MAHITAJI

Unga - 3 Vikombe vya chai

Baking powder - 1 Β½ Vijiko vya chai

Sukari - 1 Kikombe cha chai

Siagi - 1 Kikombe cha chai

Mayai - 2

Maji - kiasi ya kuchanganyia

Tende - 1 Kikombe

ufuta - ΒΌkikombe

MAPISHI

  1. Changanya unga, siagi, baking powder, na sukari katika bakuli
  2. Tia mayai, na maji kidogo uchanganye vizuri.
  3. Sukuma kiasi kama unavyosukuma chapati duara kubwa.
  4. Tandaza tende juu yake halafu kunja hadi mwisho.
  5. Paka mayai juu yake halafu mwagia ufuta kisha kata kata vipande.
  6. Vipange kwenye treya ya oveni kisha choma(bake)moto wa 350Β°F kwa muda wa nusu saa takriban.
  7. Ziepue katika moto naziache zipowe. Panga katika sahani.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 0

Please log in or register to comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts! πŸ“

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About