Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kama Albino akiathirika na VVU anaweza kutumia ARVs kama watu wengine?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Katika suala hili la UKIMWI hakuna tofauti yoyote kati ya
Albino na watu wengine katika jamii. Albino wanaweza kupata
maambukizo kama watu
wengine, na mahitaji yao ni yaleyale, kijamii, kisakolojia na kiafya.
Albino watapewa ARVs kama watu wengine kwa kufuata
utaratibu uleule wa matibabu ya UKIMWI kama wanavyofanyiwa
watu wasio Albino. Kwa hiyo kama Albino anakataliwa kupewa
huduma za dawa za kufubaza VVU (ARVs) basi atoe taarifa
kwa vyombo husika ukiwemo uongozi katika jamii au kwenye
Chama cha Albino ili waweze kuwasaidia kufuatilia haki zao.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako

Ndoa ni muunganiko wa wawili kuwa ki... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mzuri na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mzuri na Msichana

Leo tutazungumzia jinsi ya kuwa na mawasiliano mzuri na msichana. Kwa sababu ya tofauti za kijins... Read More

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

  1. Anza kwa kujenga urafiki mzuri Kabla ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi, ni muhimu kujeng... Read More

Je, ngono/kufanya mapenzi ni jambo la faragha au unajisikia huru kuzungumzia kuhusu hilo?

Je, ngono/kufanya mapenzi ni jambo la faragha au unajisikia huru kuzungumzia kuhusu hilo?

Jambo la faragha kabisa ni ngono au kufanya mapenzi. Kila mtu ana hisia tofauti kuhusu suala hili... Read More

Je, Ni Vipi naweza kuacha Kufanya Ngono Baada ya Kuanza?

Je, Ni Vipi naweza kuacha Kufanya Ngono Baada ya Kuanza?

Je, Ni Vipi naweza kuacha Kufanya Ngono Baada ya Kuanza?

Jambo la kwanza kabisa, napenda k... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano? Jibu ni ndio, kwa kweli! M... Read More

Je, ni kweli kwamba uvutaji wa bangi hukufanya uwe na nguvu?

Je, ni kweli kwamba uvutaji wa bangi hukufanya uwe na nguvu?

Si kweli kabisa! Baada ya kuvuta bangi mtu hujiona kama jasiri sana na mwenye nguvu. Lakini madha... Read More

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti kubwa sana za kihisi... Read More

Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?

Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?

Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ... Read More

Je, Albino abadili/ageuze nywele rangi (die) au avae nywele bandia (wigi)?

Je, Albino abadili/ageuze nywele rangi (die) au avae nywele bandia (wigi)?

Suala hili litatagemea na kila mtu anavyopendelea. Baadhi ya
watu hupendelea kuacha nywele z... Read More

Sabau za ubakaji

Sabau za ubakaji

Ni vigumu kuelewa nini kinamfanya mtu aweze kubaka mwingine.
Ubakaji ni aina nyingine ya uka... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki, leo tutajadili kuhusu swali linaloulizwa sana kuhusu watu kwa nini wanapendel... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About