Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Je, uke wa mwanamke unaweza kupanuka kiasi gani?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Wakati wa kujifungua, uke wa mwanamke mzima hupanuka kuanzia kipenyo cha sentimeta kumi mpaka kumi na mbili i i ili kuruhusu kichwa cha mtoto kupita. Kwa kawaida, mwanamke anayejifungua, uke na mlango wa mfuko wa uzazi hupanuka vya kutosha.

Kwa wasichana wa umri mdogo, kuzaa mtoto kunaweza kukaleta matatizo, kwa sababu viungo vyake vya uzazi bado ni vidogo na havina nguvu ya kutosha. Mara kwa mara wasichana wanapata uchungu wa muda mrefu kwa sababu fupanyonga ni nyembamba hivyo kutoruhusu mtoto kupita kiurahisi na kwa haraka. Mara nyingine hata i inabidi kufanyiwa operesheni i i ili kumtoa mtoto.

Wasichana ambao hawapati huduma ya wataalamu ambao wanaweza kugundua matatizo ya msichana na mtoto haraka wakati wa kujifungua, mara nyingi wanapata ulemavu wa kudumu. Yaani ulemavu wa kuharibika ama njia ya mkojo au njia ya haja kubwa au hata njia zote mbili kwa pamoja. Uharibifu wa njia hizi unajulikana kana fistula, unamfanya mama kushindwa kuzuia haja kubwa au ndogo hivyo kuvuja ovyoovyo kwa kupitia ukeni.

Wakati mwingine msichana na mtoto ambaye hajazaliwa hufa wakati wa kujifungua, kwa sababu wanakuwa hawajapata huduma kutoka kwa mtu mwenye stadi za kutosha.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kutahiriwa kwa wanaume ni sawa na ukeketaji?

Kutahiriwa kwa wanaume ni sawa na ukeketaji?

Hapana. Ukeketaji na kutahiriwa kwa mwanaume havifanani.
Kama kutahiriwa kwa mwanamume ni sa... Read More

Vijana Albino wafanye nini ili kulinda ngozi yao?

Vijana Albino wafanye nini ili kulinda ngozi yao?

Pamoja na matatizo ya kuona, ngozi ya Albino ni rahisi sana
kudhurika kwa mionzi ya jua. Hat... Read More

Jinsi ya Kuanzisha Mawasiliano ya Kwanza na Msichana

Jinsi ya Kuanzisha Mawasiliano ya Kwanza na Msichana

Leo, tutazungumzia jinsi ya kuanzisha mawasiliano ya kwanza na msichana. Ni muhimu sana kwa kila ... Read More

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mv... Read More

Je, kuna tofauti ya kiumri katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti ya kiumri katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti ya kiumri katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio! Kuna tofauti kubwa sana kati ya wa... Read More

Njia za Kujenga Hisia za Usalama katika Uhusiano wako na Msichana

Njia za Kujenga Hisia za Usalama katika Uhusiano wako na Msichana

Njia za Kujenga Hisia za Usalama katika Uhusiano wako na Msichana

Hakuna kitu kizuri kama ... Read More

Msichana ambaye hajawahi kujamiiana anaitwa bikira, je mvulana huitwaje?

Msichana ambaye hajawahi kujamiiana anaitwa bikira, je mvulana huitwaje?

Neno โ€œbikiraโ€ ni mtu yeyote ambaye hajawahi kujamii ana maishani mwake, awe mwanamke au mwana... Read More

Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs)?

Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs)?

Nifanyeje Kujikinga na Maambukizi ya Magonjwa ya Zinaa (STIs)?

Jambo wapenzi wa vijana! Le... Read More

Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Marafiki au Shinikizo za Kisiasa?

Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Marafiki au Shinikizo za Kisiasa?

Je, ni lazima kufanya ngono kwa sababu ya marafiki au shinikizo za kisiasa? ๐Ÿค”

Ndugu vij... Read More

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi... Read More

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako?

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako?

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako? Ndio! Ni m... Read More

Ubakaji ni nini?

Ubakaji ni nini?

Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About