Kwa nini mara nyingine uume hausimami?
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ili mwanaume aweze kujamii ana, ni lazima uume usimame na kuweza kupenya ukeni. Kama mvulana anasisimka kimapenzi, damu nyingi inaenda katika mishipa ya damu ndani ya uume. Halafu uume husimama kutokana na msukumo wa damu. Hivyo kama msukumo wa damu hautoshi, hii husababisha uume kutosimama au kusimama kwa unyonge.
Kutokuwa na msisimko wa kutosha kwa ajili ya kusimamisha uume kunaweza kusababishwa na mambo mengi, mojawapo ni i i ile hali ya kutokuwa tayari kwa kujamii ana, kuwa na wasiwasi mwingi, kutompenda mpenzi wako, ulevi wa pombe au dawa za kulevya, kuvuta sigara, lishe duni au maradhi mbalimbali.
Kama una shida ya uume kutosimama wakati wa kujamii ana, jaribu kuangalia ni sababu zipi kati ya hizi zilizoorodheshwa juu zingeweza kuwa sababu kuu ya shida yako. Halafu, jaribu kurekebisha matatizo.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi z...
Read More
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na k...
Read More
Kama wapenzi, kujadili matakwa na matarajio yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako ni jambo...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu kwenye ngono/kufanya mapenzi? B...
Read More
Jinsi ya Kuonyesha Heshima kwa Msichana Wako
Wanawake ni vipenzi vya thamani sana katika m...
Read More
Kupata mazungumzo ya kuvutia kwa msichana unayempenda kunaweza kuwa changamoto kubwa kwa wanaume ...
Read More
Jinsi ya Kuwa na Furaha na Msichana Wako
Kuwepo kwa mtu ambaye unampenda na kujali ni jamb...
Read More
Afya ya uzazi inahusiana na mfumo wa uzazi wa mtu, na via
vya uzazi kwa watu. Kwa hali hiyo basi ina...
Read More
Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi sana ambayo ...
Read More
Jinsi ya Kuheshimu Maamuzi ya Mwenzi Wako kuhusu Ngono π
Karibu kwenye makala hii nzuri...
Read More
Nifanyeje Kuelewa Hatari na Faida za Ngono kabla ya Kuanza? ππ₯π
Karibu kijana! Le...
Read More
Ndiyo, baada ya muda fulani karibia watu wote wenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI wataanza kuug...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!