Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya #Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

2. TANCREDO NEVES (RAIS WA BRAZIL)

Alisema kwamba endapo angepata kura laki tano kutoka katika uchaguzi mkuu wa Brazil na kuwa rais, hata #MUNGU asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa, akapata kura zaidi ya hizo, akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa, akafariki dunia.

3. CAZUZA (MWANAMUZIKI WA BRAZIL)

Alipokuwa katika shoo yake ndani ya jiji la #Rio #De #Janeiro, alichukua sigara, akaanza kuivuta, akachukua nyingine na kisha kuirusha juu na kusema #Mungu, hiyo yako, chukua nawe uvute"
Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu ambayo iliyaharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote yule.

4. MTENGENEZAJI WA MELI YA TITANIC.

Baada ya kutengeneza meli ya Titanic, Mwanahabari akamuuliza ni kwa kiasi gani ilikuwa salama nae akajibu "Ni salama sana, haiwezi kuzama na hata #Mungu hawezi kuizamisha"
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu Titanic.

5. BON SCOTT (MUIMBAJI)

Mwimbaji huyu ambaye alitamba miaka ya 70 alitoa wimbo wake mmoja mwaka 1979 wenye maneno haya
"Don't stop me; I'm going down all the way, down the highway to hell'.
Tarehe 19 February mwaka 1980, alikutwa amekufa baada ya kupaliwa na matapishi yake.

6. Mwanamke mmoja alikuwa akihofia sana kuhusu ulevi wa marafiki wa Mtoto wake. Wakati wanataka kuondoka na gari, akamshika mtoto wake mkono garini na kumwambia "Binti yangu, Mungu awatangulie katika safari yenu" Yule binti akajibu "Gari imejaa Mama, huyo #Mungu labda akae kwenye boneti la gari".
Baada ya masafa fulani ya safari yao, gari lile lilipata ajali kiasi ambacho hata polisi hawakujua ni aina gani ya gari lilikuwa. Lilikuwa limebondeka sana na watu wote walikutwa wamekufa. Kilichowashangaza polisi, trey la mayai wala halikuonekana kuguswa na hakuna hata yai moja lililokuwa limevunjika na wakati gari lilibondeka mpaka kutokutambulika.

7. CHRISTINA HEWITT (MWANDISHI WA HABARI)

Huyu alikaririwa akisema hivi "Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibayaโ€ฆkibaya na kibaya kama #Biblia"
Siku chache baada ya kusema maneno hayo, mwili wake ulikutwa umeunguzwa na moto ambao haikujulikana mpaka leo ule moto ulisababishwa na nini.

8. MARILYN MONROE (MUIGIZAJI)

Huyu alifuatwa na #Bill #Graham na kumwambia kwamba alitumwa na Roho wa Mungu kwa ajili ya kumhubiria. Alimkaribisha ndani, akamsikiliza kwa makini, alipomaliza akasema "Simhitaji #Yesu wako, unaweza kuondoka nae". Wiki moja baadae, alikutwa amekufa katika makazi yake. Polisi walijaribu kuchunguza kipi kilimuua, mpaka leo hawajapata jibu.

#share Ujumbe huu Kwa Ndugu na jamaa,ujumbe huu utawasidia kumuheshimu Mungu na kumtii.

Mungu ni pendo

AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Francis Mtangi Guest Jun 16, 2024
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Stephen Amollo Guest Mar 7, 2024
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Ann Awino Guest Feb 26, 2024
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Rose Kiwanga Guest Jan 6, 2024
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Esther Nyambura Guest Nov 23, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ David Chacha Guest Nov 17, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mtaki Guest Oct 22, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Edward Lowassa Guest Sep 29, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Rose Kiwanga Guest Sep 26, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Malima Guest Jun 7, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Edward Lowassa Guest Feb 19, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest Aug 19, 2022
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Dorothy Majaliwa Guest Feb 18, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Lucy Kimotho Guest Dec 12, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Esther Cheruiyot Guest Nov 29, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mtaki Guest Apr 7, 2021
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Christopher Oloo Guest Mar 16, 2021
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Esther Nyambura Guest Jan 13, 2021
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Janet Mbithe Guest Oct 26, 2020
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Benjamin Masanja Guest Oct 7, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ James Kimani Guest Sep 17, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Brian Karanja Guest Jul 4, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Francis Njeru Guest Jul 1, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ John Mwangi Guest Mar 7, 2020
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Nancy Komba Guest Jan 25, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Malima Guest Aug 4, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Wilson Ombati Guest Jun 7, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Victor Kamau Guest Jun 2, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Martin Otieno Guest May 31, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Jacob Kiplangat Guest May 25, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Violet Mumo Guest May 20, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Philip Nyaga Guest Jan 21, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Diana Mumbua Guest Jan 9, 2019
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Samuel Were Guest Nov 8, 2018
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Jul 16, 2018
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Sharon Kibiru Guest Jul 9, 2018
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Fredrick Mutiso Guest Apr 17, 2018
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Margaret Mahiga Guest Jan 5, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Rose Waithera Guest Oct 27, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mwakalindile Guest Sep 1, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Grace Njuguna Guest Mar 17, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mushi Guest Mar 2, 2017
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Nov 29, 2016
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Edward Chepkoech Guest Aug 1, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Samuel Were Guest Jul 1, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthui Guest Mar 11, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Grace Njuguna Guest Dec 26, 2015
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Malima Guest Sep 28, 2015
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Kevin Maina Guest Aug 2, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Carol Nyakio Guest May 1, 2015
Katika imani, yote yanawezekana

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About