Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Bwana Yesu mwenyewe kwa kutumia kinywa cha Mtakatifu Margareta Maria Alakoki aliahidi Baraka na neema zifuatazo kwa wale wote watakaouheshimu Moyo wake Mtakatifu.

Na kwa maneno yake mwenyewe, Bwana Yesu aliahidi:

1. โ€œNitawajalia neema zote watakazozihitaji katika hali yao ya maisha

2. Nitawajalia amani katika familia zao

3. Nitawafariji katika magumu yao yote

4. Nitakuwa kimbilio lao salama wakati wa maisha yao, na zaidi sana katika saa yao ya kufa

5. Nitawapa baraka tele katika shughuli zao zote

6. Wakosefu watapata katika Moyo wangu chanzo na bahari ya huruma isiyo na mwisho

7. Waumini walio vuguvugu watakuwa na bidii

8. Waumini wenye bidii watakwea kwa upesi katika ngazi za juu za ukamilifu

9. Nitabariki kila mahali ambapo picha au sanamu ya Moyo wangu Mtakatifu itawekwa na kuheshimiwa

10. Nitawajalia mapadre karama ya kuigusa mioyo migumu

11. Wale wote watakaoeneza Ibada hii kwa wengine majina yao yataandikwa ndani ya Moyo wangu na sitawasahau kamwe

12. Wale wote watakaopokea Sakramenti ya Ekaristi kila Ijumaa ya kwanza ya mwezi kwa miezi tisa mfululizo wakiwa katika hali ya neema ya utakaso, hawatakufa wakiwa na uadui nami, nitawapa neema ya kudumu katika uaminifu hadi mwisho na hawatakufa bila kupokea Sakramenti za mwishoโ€.

AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Dorothy Mwakalindile Guest May 31, 2024
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Nancy Akumu Guest May 30, 2024
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Lydia Wanyama Guest May 2, 2024
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Dorothy Majaliwa Guest Apr 19, 2024
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Victor Kamau Guest Jan 27, 2024
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Lucy Wangui Guest Oct 28, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Mar 23, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Nancy Kabura Guest Feb 22, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Moses Kipkemboi Guest Feb 8, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Violet Mumo Guest Jan 25, 2023
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Jan 14, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Irene Akoth Guest Dec 18, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Alice Jebet Guest Oct 26, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Samson Tibaijuka Guest Sep 20, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mrope Guest Aug 21, 2022
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Joseph Mallya Guest Jul 31, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ John Lissu Guest Jul 29, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Catherine Mkumbo Guest Jun 24, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Mary Sokoine Guest Feb 17, 2022
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Mercy Atieno Guest Dec 7, 2021
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Esther Cheruiyot Guest Nov 14, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Jackson Makori Guest Jun 17, 2021
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Grace Minja Guest Jun 4, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Richard Mulwa Guest May 26, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Stephen Mushi Guest Jan 2, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ George Wanjala Guest Dec 20, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Janet Wambura Guest Nov 17, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Alex Nakitare Guest Oct 4, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest May 31, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ David Chacha Guest Feb 12, 2020
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Ann Wambui Guest Nov 14, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ David Chacha Guest Nov 12, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mahiga Guest Jul 16, 2019
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Mar 11, 2019
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Rose Waithera Guest Nov 17, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Nora Kidata Guest Oct 2, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kiwanga Guest Sep 14, 2018
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mrope Guest Mar 20, 2018
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Ruth Wanjiku Guest Dec 11, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Stephen Kangethe Guest Sep 19, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Irene Makena Guest Jul 18, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Simon Kiprono Guest Jan 24, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Michael Onyango Guest Jun 19, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Jun 6, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Simon Kiprono Guest May 1, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Mary Njeri Guest Apr 28, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Peter Mbise Guest Nov 30, 2015
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ John Lissu Guest Nov 29, 2015
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Mary Njeri Guest Nov 21, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Patrick Akech Guest Jul 3, 2015
Neema na amani iwe nawe.

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About