Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu wengine

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Katika Amri ya Tano ya Mungu tumeamriwa nini?

Tumeamriwa tutunze uhai wetu na wa watu wengine tangu mwanzo hadi mwisho. (Mwa 4:10-11)


Kwa nini ni lazima kutunza uhai wetu na wa wenzetu?

Kwa sababu uhai wa watu wote umetoka kwa Mungu


Haki gani ya Binadamu ni ya msingi kupita zote?

Haki ya binadamu iliyo ya msingi kupita zote ni uhai wake ambao ni lazima uheshimiwe na kulindwa tangu siku ya kutungwa mimba


Nani anatenda dhambi dhidi ya amri ya tano ya Mungu? Mambo yanayovunja Amri ya Tano ya Mungu

Anayetemda dhambi dhidi ya amri ya tano ya Mungu ni yule;-

1. Anayemuua mtu au anayejiua mwenyewe
2. Anayemdhuru mwingine kwa namna yoyote ile
3. Anayeua Mimba na kuharibu nguvu za uzazi
4. Anayesaidia kuua, kumdhuru mtu au anayesaidia kutoa/kuharibu mimba
5. Anayeharibu mazingira yaliyomuhimu kwa uhai
6. Anayetetea au kuendeleza mifumo ya ya dhuluma, uhasama na vita.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Margaret Mahiga (Guest) on April 18, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Wangui (Guest) on March 8, 2024

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Janet Wambura (Guest) on August 15, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Joyce Nkya (Guest) on August 12, 2023

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Janet Wambura (Guest) on July 21, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Christopher Oloo (Guest) on July 6, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Mary Kidata (Guest) on May 9, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Joy Wacera (Guest) on May 9, 2023

Katika imani, yote yanawezekana

Linda Karimi (Guest) on March 21, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Henry Sokoine (Guest) on February 21, 2023

Nakuombea πŸ™

Joyce Nkya (Guest) on October 29, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Catherine Mkumbo (Guest) on December 30, 2021

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Janet Sumaye (Guest) on November 16, 2021

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Vincent Mwangangi (Guest) on September 10, 2021

Mungu akubariki!

Michael Onyango (Guest) on December 24, 2020

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Sarah Achieng (Guest) on July 24, 2020

Endelea kuwa na imani!

Paul Ndomba (Guest) on July 18, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Edith Cherotich (Guest) on June 27, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Charles Mboje (Guest) on April 20, 2020

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 31, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Diana Mumbua (Guest) on January 8, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Ruth Wanjiku (Guest) on December 16, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Alice Mrema (Guest) on December 14, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Catherine Naliaka (Guest) on September 23, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Josephine Nduta (Guest) on July 4, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Betty Kimaro (Guest) on May 27, 2019

Rehema hushinda hukumu

Benjamin Masanja (Guest) on May 13, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

David Sokoine (Guest) on May 4, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

David Ochieng (Guest) on April 22, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Philip Nyaga (Guest) on March 29, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Agnes Lowassa (Guest) on October 11, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Betty Cheruiyot (Guest) on September 17, 2017

Rehema zake hudumu milele

Catherine Naliaka (Guest) on July 17, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Irene Makena (Guest) on June 18, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Muthui (Guest) on May 19, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

George Ndungu (Guest) on May 16, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Irene Makena (Guest) on January 16, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Malima (Guest) on November 22, 2016

Sifa kwa Bwana!

Philip Nyaga (Guest) on November 20, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Lucy Wangui (Guest) on September 1, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Charles Mrope (Guest) on August 17, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Chacha (Guest) on May 30, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Janet Sumari (Guest) on April 9, 2016

Dumu katika Bwana.

Stephen Kangethe (Guest) on April 7, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joyce Mussa (Guest) on January 25, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Joseph Kitine (Guest) on October 14, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Rose Waithera (Guest) on September 21, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mary Mrope (Guest) on August 21, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Andrew Mahiga (Guest) on June 16, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa zaidi ya Ukristo duniani. Na kama madhehebu mengine ... Read More

Amri ya Pili ya Mungu: Tunakatazwa kuapa bure au uongo kwa Jina la Mungu

Amri ya Pili ya Mungu: Tunakatazwa kuapa bure au uongo kwa Jina la Mungu

Katika amri ya pili ya Mungu tumekatazwa nini?<... Read More

Mambo ya Msingi kufahamu kuhusu Ndoa ya Kikatoliki

Mambo ya Msingi kufahamu kuhusu Ndoa ya Kikatoliki

Read More
Mafundisho kuhusu Toharani

Mafundisho kuhusu Toharani

Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, viongozi wa kidini na maaskofu ni watu muhimu sana katika kufiki... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili? Ji... Read More

Mambo ya muhimu kujua kuhusu Sakramenti ya Kipaimara

Mambo ya muhimu kujua kuhusu Sakramenti ya Kipaimara

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu dini na dini nyingine?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu dini na dini nyingine?

Kanisa Katoliki ni mojawapo ya madhehebu makubwa zaidi ya Ukristo ulimwenguni. Imani yake ina msi... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa umoja na mshikamano kati ya Wakristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa umoja na mshikamano kati ya Wakristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa umoja na mshikamano kati ya Wakristo? Jib... Read More

Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri

Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri

Amri ya Kumi ya Mungu inakataza nini?

Amri kumi za Mungu ni zipi?