Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu wengine

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Katika Amri ya Tano ya Mungu tumeamriwa nini?

Tumeamriwa tutunze uhai wetu na wa watu wengine tangu mwanzo hadi mwisho. (Mwa 4:10-11)


Kwa nini ni lazima kutunza uhai wetu na wa wenzetu?

Kwa sababu uhai wa watu wote umetoka kwa Mungu


Haki gani ya Binadamu ni ya msingi kupita zote?

Haki ya binadamu iliyo ya msingi kupita zote ni uhai wake ambao ni lazima uheshimiwe na kulindwa tangu siku ya kutungwa mimba


Nani anatenda dhambi dhidi ya amri ya tano ya Mungu? Mambo yanayovunja Amri ya Tano ya Mungu

Anayetemda dhambi dhidi ya amri ya tano ya Mungu ni yule;-

1. Anayemuua mtu au anayejiua mwenyewe
2. Anayemdhuru mwingine kwa namna yoyote ile
3. Anayeua Mimba na kuharibu nguvu za uzazi
4. Anayesaidia kuua, kumdhuru mtu au anayesaidia kutoa/kuharibu mimba
5. Anayeharibu mazingira yaliyomuhimu kwa uhai
6. Anayetetea au kuendeleza mifumo ya ya dhuluma, uhasama na vita.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Apr 18, 2024
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Mar 8, 2024
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Aug 15, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Aug 12, 2023
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Jul 21, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Jul 21, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Jul 6, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Mary Kidata Guest May 9, 2023
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest May 9, 2023
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Mar 21, 2023
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Feb 21, 2023
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Oct 29, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Dec 30, 2021
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Nov 16, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Sep 10, 2021
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Michael Onyango Guest Dec 24, 2020
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest Jul 24, 2020
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Jul 18, 2020
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Jun 27, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Apr 20, 2020
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Mar 31, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Jan 8, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest Dec 16, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest Dec 14, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Sep 23, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Jul 4, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest May 27, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest May 13, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ David Sokoine Guest May 4, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ David Ochieng Guest Apr 22, 2018
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Mar 29, 2018
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Oct 11, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Sep 17, 2017
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Jul 17, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Jun 18, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest May 19, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ George Ndungu Guest May 16, 2017
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Jan 16, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ James Malima Guest Nov 22, 2016
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Nov 20, 2016
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Sep 1, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest Aug 17, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ David Chacha Guest May 30, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Apr 9, 2016
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Apr 7, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Jan 25, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Oct 14, 2015
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Sep 21, 2015
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Aug 21, 2015
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Jun 16, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About