Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁

MAANA YA SALA KWA MKRISTO

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea nae. Watu wote wanapaswa kusali, wema na wabaya. Inatupasa kusali kila siku bila kukata tama kwa ibada, kwa matumaini na kwa saburi. Kama mfano Yesu Alitufundisha sala ya Baba yetu.
Yatupasa kuwaombea wengine, watu wote wenye shida wakosefu na hata maadui zetu, vilevile tumtolee Mungu shukrani kila wakati na hasa kwa kuadhimisha Ekaristi Takatifu.
Masifu ni sala au wimbo unaomsifu na kumtambua Mungu kuwa Mungu.
Sababu za kusali
1. Kumuabudu Mungu
2. Kumshukuru Mungu
3. Kuomba Neema na Baraka kwa ajili yetu na wenzetu
4. Kuomba msamaha
Namna za sala
1. Sala ya sauti : Sala asaliyo mtu au kikundi kwa kutumia maneno
2. Sala ya fikra : Sala asaliyo mtu akiwa peke yake au na wengine kimya kimya akimuwaza Mungu.
3. Sala ya Taamuli: Kumtazama tuu Mungu kwa upendo Mkubwa Moyoni.
Nyakati zote zinafaa kwa sala hasa
1. Asubuhi na jioni
2. Kabla na baada ya kula
3. Kila dominika
4. Sikukuu za amri
5. Kabla na baada ya kazi
6. Katika kishawishi
Vyanzo vya sala za Kikristo
1. Neno la Mungu
2. Liturujia ya Kanisa
3. Fadhila za Kimungu
4. Matukio ya kila siku
Aidha Roho Mtakatifu ndiye mlezi wa ndani wa sala ya Kikristo akitufundisha kusali na kusali ndani mwetu.
Sala Muhimu kwa Mkristo
Sala kubwa ya kanisa ni Misa Takatifu na sala Bora kwa Bikira Maria ni Rozari Takatifu.
Sala nyingine Muhimu kwa Mkristu ni:
1. Baraka ya Sakramenti kuu
2. Andamo la Ekaristi
3. Litania Takatifu
4. Njia ya Msalaba
5. Rozari takatifu
6. Novena
Mtu anaweza kusali popote lakini kanisani ndio mahali rasmi pa sala, Aidha familia ni shule ya kwanza ya sala ambapo mtu hujifunza na kujizoesha kusali anapokua katika familia.
Changamoto na majaribu wakati wa kusali
1. Mtawanyiko wa mawazo
2. Ukavu wa Moyo
3. Uvivu na uregevu
Faida ya Sala
1. Zinaleta neema nyingi
2. Zinatuimarisha ili tushinde vishawishi na dhambi
3. Zinatuunganisha na Mungu
4. Zinatudumisha katika kutenda mema
Neno Amina katika sala linamaana ‘Na iwe hivyo’. Na neno Aeluya maana yake ni Msifuni Mungu.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
👥 Samuel Omondi Guest May 13, 2024
Imani inaweza kusogeza milima
👥 Betty Kimaro Guest Nov 11, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
👥 Christopher Oloo Guest Nov 8, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
👥 Moses Mwita Guest Aug 27, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
👥 Peter Mbise Guest Aug 2, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
👥 Janet Mwikali Guest Jul 11, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
👥 Grace Njuguna Guest Mar 12, 2023
Nguvu hutoka kwa Bwana
👥 Paul Ndomba Guest Feb 5, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
👥 Tabitha Okumu Guest May 24, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
👥 Hellen Nduta Guest May 19, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
👥 Anna Mahiga Guest Apr 7, 2022
Dumu katika Bwana.
👥 Josephine Nduta Guest Sep 29, 2021
Baraka kwako na familia yako.
👥 Frank Macha Guest Aug 2, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
👥 Diana Mumbua Guest Jul 30, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
👥 Jane Malecela Guest Jul 15, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
👥 James Mduma Guest Jun 8, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
👥 Esther Nyambura Guest May 28, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
👥 Isaac Kiptoo Guest Apr 11, 2021
Endelea kuwa na imani!
👥 Dorothy Mwakalindile Guest Dec 27, 2020
Sifa kwa Bwana!
👥 Chris Okello Guest Dec 10, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
👥 Thomas Mtaki Guest Sep 30, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
👥 Monica Nyalandu Guest Sep 10, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
👥 Charles Mboje Guest Aug 12, 2020
Rehema hushinda hukumu
👥 Nancy Komba Guest Jul 29, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
👥 Brian Karanja Guest Jun 21, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
👥 Joyce Nkya Guest Dec 19, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
👥 Jane Muthui Guest Aug 1, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
👥 Catherine Naliaka Guest Jan 29, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
👥 Rose Kiwanga Guest Jan 27, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
👥 Paul Ndomba Guest Nov 8, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
👥 Nancy Kabura Guest Sep 18, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
👥 Margaret Mahiga Guest Jul 19, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
👥 Chris Okello Guest Jun 23, 2018
Rehema zake hudumu milele
👥 Janet Sumari Guest Jun 1, 2018
Neema na amani iwe nawe.
👥 Mary Mrope Guest May 20, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
👥 Andrew Odhiambo Guest Feb 2, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
👥 Jane Muthui Guest Nov 28, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
👥 Victor Kamau Guest Nov 11, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
👥 Andrew Odhiambo Guest Sep 21, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
👥 Alice Wanjiru Guest Aug 30, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
👥 Martin Otieno Guest Feb 18, 2017
Nakuombea 🙏
👥 Chris Okello Guest Jan 22, 2017
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
👥 Joseph Njoroge Guest Nov 18, 2016
Mungu akubariki!
👥 Tabitha Okumu Guest Oct 30, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
👥 Nancy Komba Guest Aug 21, 2016
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
👥 Diana Mumbua Guest Jun 16, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
👥 Raphael Okoth Guest Dec 2, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
👥 Francis Njeru Guest Sep 11, 2015
Mwamini katika mpango wake.
👥 Lucy Mushi Guest Aug 24, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
👥 Henry Sokoine Guest May 24, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

🔗 Related Posts

🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About