Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mara nyingi tumekua tukiomba lakini hatupati, sababu zinaweza zikawa hizi ;

1. Mawazo na matarajio yetu

Mara nyingi tunajifunga kwenye maombi yetu pale tunapoomba na kisha kuanza kuwaza "hivi Mungu atanipa kikubwa au kidogo au atanisaidia sana au kidogo" Au tunaomba halafu tunakua na matarajio tofauti na kile tunachoomba. Aidha tunatarajia kupata kidogo au kikubwa.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu kizuizi kwenye maombi yako. Yaani kumuongoza Mungu afanye kwa kiasi kile unachofikiri.

2. Kulenga kutizamwa na watu.

Hii ni kuomba kwa majivuno yaani kuomba ili ukishapata watu waone kuwa umepata.
Jambo hili linamchukiza Mungu ndio maana unapoomba kupewa kitu au kusaidiwa kitu Mungu hafanyi /hakupi. Na Mara nyingine hata vile ulivyonavyo unanyan'ganywa kwa kuwa hauombi kwa utukufu wa Mungu bali kwa utukufu wako.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu ukuta kwenye maisha yako.

Namna njema ya kuomba ni hii

1. Kutokuomba mambo makuu sana ambayo huna haja nayo na hayana maana katika maisha yako.
2. Kutokuomba mambo madogo kwa mawazo labda nikiomba makubwa Mungu hataweza
3. Kutokuomba kwa ajili ya kutaka kuonekana na watu.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Jul 20, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Jun 5, 2024
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ John Malisa Guest Dec 19, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest Sep 11, 2023
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Sep 7, 2023
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest May 8, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Apr 27, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest Mar 15, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Peter Tibaijuka Guest Jan 31, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest Nov 4, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest Aug 9, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Jul 26, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Mar 16, 2022
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Chris Okello Guest Jan 31, 2022
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Jan 20, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ James Kimani Guest Sep 14, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Aug 17, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Mar 25, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Mar 3, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ George Mallya Guest Dec 26, 2020
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Dec 9, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Oct 29, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Jul 29, 2020
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Jun 27, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Dec 14, 2019
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Nov 9, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest Nov 4, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Nov 25, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Nov 4, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Nov 3, 2018
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Oct 13, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Aug 8, 2018
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Aug 4, 2018
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Feb 27, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Jan 16, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Dec 1, 2017
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Nov 19, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Michael Onyango Guest Aug 24, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Aug 7, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Jul 27, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Jun 2, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Robert Okello Guest May 21, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Apr 15, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest Dec 5, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Nov 3, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Oct 30, 2016
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Aug 29, 2016
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 8, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest May 7, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Oct 29, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About