Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maana ya Kumuamini Mungu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kumuamini Mungu ni kuwa na uhakika na uwepo na uwezo wa Mungu. Ni kutambua na kukubali kwa uhakika kuwa Mungu yupo na anaweza kutenda. Unaweza kuwa na Imani lakini ukakosa kuamini yaani unaamini kwa Mungu lakini huamini kama atakutendea.

Kuamini kunakua na sifa zifuatazo

1. Kutokuwa na mashaka kama Mungu atatenda au hatatenda

2. Kuwa na subira. Kusubiri Mungu atende wakati unaofaa

3. Kuwa na matumaini hata kama hujatendewa.

Mara nyingi watu wanakuwa na imani lakini hawaamini ndio maana wanashindwa kuelewa mapenzi ya Mungu, mipango na matendo yake.

Kuwa na Imani tuu bila Kuamini huwezi kuendelea mbele kiroho. Kukosa Kuamini ndiyo sababu inayokwamisha maendeleo ya kiroho kwa watu wenye imani.

Dalili za kukosa au kupungukiwa Kuamini ni kama ifuatavyo

1. Kutokuwa na uhakika kama sala zako zitajibiwa.

2. Kukosa subira na matumaini.

3. Kuwa na maswali kama, Hivi Mungu yupo na mimi au hayupo na mimi??. Kujiuliza Hivi Mungu amenisikia?, Ananikumbuka?, Atafanya kweli??

Kukosa Kuamini kukizidi kunaleta hali ya kuhisi kuwa Mungu yupo na anaweza kutenda chochote lakini hatendi. Utakua sasa unaanza Kujiuliza kwa nini. Mtu akifika katika hali hii, Imani huporomoka na kupotea Mara nyingine mtu hufikia Kukosa imani kabisa na Mungu japokuwa anajua yupo na anaweza.

Ili kuondokana na hali hii ya kuwa na Imani lakini unakua na Kukosa kuamini, jitahidi kusali /kuomba neema ya kuamini, Jitahidi kusoma Biblia itakujengea kuamini na pia omba ushauri kwa watu wenye imani na wanaoamini.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jane Muthui (Guest) on May 10, 2024

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joy Wacera (Guest) on March 14, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Peter Mwambui (Guest) on October 28, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Paul Kamau (Guest) on October 14, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jane Muthoni (Guest) on August 15, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Fredrick Mutiso (Guest) on June 10, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Linda Karimi (Guest) on May 3, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Joy Wacera (Guest) on April 2, 2023

Rehema hushinda hukumu

David Musyoka (Guest) on September 17, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Edith Cherotich (Guest) on July 25, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Peter Otieno (Guest) on November 15, 2021

Mwamini katika mpango wake.

Daniel Obura (Guest) on November 7, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

George Tenga (Guest) on August 30, 2021

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Victor Sokoine (Guest) on August 15, 2021

Nakuombea πŸ™

Samuel Were (Guest) on April 13, 2021

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Jane Muthui (Guest) on March 28, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Jane Muthui (Guest) on February 16, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Anna Sumari (Guest) on February 11, 2021

Sifa kwa Bwana!

Mariam Kawawa (Guest) on January 10, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Robert Okello (Guest) on January 8, 2021

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

James Kimani (Guest) on April 18, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Michael Onyango (Guest) on February 13, 2020

Dumu katika Bwana.

Anthony Kariuki (Guest) on February 5, 2020

Endelea kuwa na imani!

Raphael Okoth (Guest) on September 25, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

James Mduma (Guest) on July 31, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Faith Kariuki (Guest) on May 13, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Lucy Wangui (Guest) on May 11, 2019

Mwamini Bwana; anajua njia

Jane Malecela (Guest) on November 10, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Benjamin Kibicho (Guest) on August 20, 2018

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Benjamin Kibicho (Guest) on July 4, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Anna Sumari (Guest) on June 18, 2018

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Tabitha Okumu (Guest) on April 15, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Margaret Anyango (Guest) on February 22, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

George Ndungu (Guest) on February 3, 2018

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Robert Okello (Guest) on January 19, 2018

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Charles Mboje (Guest) on December 14, 2017

Mungu akubariki!

Carol Nyakio (Guest) on August 11, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Josephine Nekesa (Guest) on August 11, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Edwin Ndambuki (Guest) on August 11, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Monica Nyalandu (Guest) on May 13, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Peter Mbise (Guest) on April 22, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Carol Nyakio (Guest) on March 17, 2017

Rehema zake hudumu milele

Catherine Mkumbo (Guest) on December 9, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Lydia Wanyama (Guest) on September 28, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Diana Mumbua (Guest) on May 8, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Fredrick Mutiso (Guest) on February 11, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Victor Malima (Guest) on December 13, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Diana Mumbua (Guest) on November 18, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Victor Mwalimu (Guest) on November 11, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Sarah Karani (Guest) on August 25, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Related Posts

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

  1. Kama Wakristo, tunajua kwamba Mungu ... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ekaristi?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ekaristi?

Sakramenti ya Ekaristi ni moja kati ya sakramenti saba zinazoheshimiwa na Kanisa Katoliki. Kwa mu... Read More

Mungu ni nani? Sifa za Mungu

Mungu ni nani? Sifa za Mungu

Read More
Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Read More
MALAIKA WA MUNGU

MALAIKA WA MUNGU

Read More
Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Read More
Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa ... Read More

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Kama Mkristo, tunaamini kuwa huruma ya M... Read More

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Read More
Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,
wakiwa katikati ya safari yao meli ilianzaRead More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?... Read More

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Moyo wangu unajaa furaha na sh... Read More