Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka. Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite? Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
236 💬 ⬇️

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Featured Image

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita binti mmoja anayejiuza akamsogelea yule mke wa jamaa

 

236 💬 ⬇️

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Featured Image
Kuna jamaa alipata ajali akapofuka macho👀, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokta akamuuliza: vipi saizi unaona?
236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
236 💬 ⬇️

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About