Log in to access your menu with tools for managing ๐ tasks, ๐ฅ clients, ๐ฐ finances, ๐ learning, ๐ personal growth, and ๐ spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
SMS ya kumshukuru mpenzi wako na kumwambia kuwa unampenda
Updated at: 2024-05-25 15:26:15 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
nakupenda sana mpenzi wangu ,we ndo wa pekee mwenye kujua furaha ya moyo wangu nikiwa na majonzi huwa upo karibu nami,nikiwa na furaha huja kushea nami,ahsante wangu tabibu ,we ndo wangu wa manani.
SMS ya kimahaba ya kumwambia mpenzi wako sababu ya kumpenda
Updated at: 2024-05-25 15:24:54 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.
Ujumbe wa kimapenzi wa kumwambia mpenzi wako kuwa haupo tayari kumpenda mwingine kwani unampenda yeye tuu
Updated at: 2024-05-25 15:24:57 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia moyoni mwangu mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda
Ujumbe wa kimahaba wa kumuuliza mpenzi wako anayatumiaje mapenzi
Updated at: 2024-05-25 15:23:29 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
pendo ni silaha kali zaidi duniani hu uwa wasio na hatia na hujeruhi bila kutarajia,wengine hujitolea muhanga nayo ,silaha hiyo itumikapo vizuri huleta marafiki na kuongeza furaha,je we unaitumiaje silaha hiyo?
Ama baada ya salamu, mimi ni mzima wa afya njema. Mie ni ndege nipo angani na nimetafuta mti wa kutua kila pembe ya dunia lakini sijaupata bado. Je naweza nikatua kwako?
Updated at: 2024-05-25 15:37:25 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ama baada ya salamu, mimi ni mzima wa afya njema. Mie ni ndege nipo angani na nimetafuta mti wa kutua kila pembe ya dunia lakini sijaupata bado. Je naweza nikatua kwako?
Updated at: 2024-05-25 15:26:09 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Salamu yako ni nusu ya uhai wangu, kuikosa nisawa na kuidhulumu nafsi yangu, kuipata nisawa na ua ridi machoni mwangu, nakila ninapoipata huwa najisikia faraja moyoni mwangu, Nakupenda sana Muhibu wangu.