Log in to access your menu with tools for managing ๐ tasks, ๐ฅ clients, ๐ฐ finances, ๐ learning, ๐ personal growth, and ๐ spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
Updated at: 2024-05-25 15:35:59 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambo muhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, la pili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwa kuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuungana pamoja.
Nashukuru nimekupata wewe nikupendaye, naomba unipende na uungane name
Updated at: 2024-05-25 15:36:10 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA
Updated at: 2024-05-25 15:26:56 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengi watakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapo ambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako ,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakini hawajapata wa kuwaowa
SMS ya kimahaba ya upendo ya kumtumia mpenzi wako anapoenda kwa mwingine
Updated at: 2024-05-25 15:21:53 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu.