Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti?

Featured Image
What does the Catholic Church believe about sacraments? Let's dive into the joyous world of Catholic sacraments and explore their significance!
50 💬 ⬇️

Kwa nini tarehe ya Pasaka hubadilika

Featured Image

KALENDA za mwanzo ziliutumia mwezi wa
angani kama kipimo cha muda. Ziliitwa
“Lunar calender” au Kalenda-Mwezi. Tarehe 1
ya Mwezi ilikuwa ni siku ulipoandama yaani
Mwezi-Mdogo (Crescent Moon).
Mwezi unapofika siku ya 15 unakuwa
umefikia ukubwa wa juu na huitwa Mwezi-
Mkubwa (Full Moon). Hivyo kwa kalenda ile
tarehe 15 ilikuwa ni siku ya Mwezi-Mkubwa.
Mwaka 45KK, Julius Caesar alitangaza
kalenda mpya ikaitwa “Julian Calender” iwe
na siku 365. Wakati huo ikijulikana kwamba
jua huzunguka kwa siku 365.25. Hivyo pengo
la kalenda na mzunguko likabaki robo siku.

50 💬 ⬇️

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Featured Image
50 💬 ⬇️

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Featured Image

Siku niliposoma hili andiko kwa mara ya kwanza nakumbuka, kwanza nilipata mshtuko flani baada ya kulisoma, halafu nikajikuta nikitafakari vitu vingi sana.

Hebu kwanza tusome pamoja andiko hili

ZABURI 109

17 Naye alipenda kulaani, nako kukampata.Hakupendezwa na kubariki, kukawa mbali naye

▶Huu mstari wa 17 umenishangaza sana, halafu ukanifungua na kunifundisha vitu vya msingi sana katika haya maisha tunayoishi

50 💬 ⬇️

JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU?

Featured Image
50 💬 ⬇️

Uelewa wa namba katika Biblia

Featured Image

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ni Neno la Mungu. Hivyo mwandishi wa Biblia ni Mungu kupitia wanadamu (God is the primary author of the Bible while human authors are secondary authors). Mungu aliwavuvia (inspiration by the Holy Spirit) waandishi wanadamu ili waweze kuandika kile tu ambacho Yeye (Mungu) alitaka kiandikwe kwa ajili ya wokovu wa wanadamu.

50 💬 ⬇️

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria?

Featured Image
Does the Catholic Church Respect and Worship the Virgin Mary? Absolutely! The Church cherishes Mary's role as the Mother of God and as a model of faith and obedience. Join us as we explore the depth of devotion to Our Lady in the Catholic faith.
50 💬 ⬇️

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Featured Image
What does the Catholic Church believe about the sacrament of Baptism? Dive into the holy waters and discover the joyous teachings of the Church on this sacred rite of passage.
50 💬 ⬇️

Uzinzi na Uasherati ndio mtego wa kizazi hiki

Featured Image

Uzinzi na uasherati wakati huu umekuwa ndio sumaku kuu ya kuwanasa watu ili waende jehanamu.

Sumaki hii imewanasa hata ambao hawakutegemewa wala kutarajiwa.

Uzinzi uzinzi uzinzi umekuwa kama perfume ya kujipulizia kila Mara mtu akipenda.

Uasherati umekuwa kama heshima ya kibinadamu kwa vijana wengi.

50 💬 ⬇️

Ufafanuzi wa Sala ya Baba yetu

Featured Image
50 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About