Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sala, matendo, kazi, masumbuko, na furaha zangu zote za siku hii ya leo, kwa ajili ya nia za Moyo wako Mtakatifu, Ee Yesu ufalme wako utufikie!

Baba Yetu….
Salamu Maria, …..
Nasadiki …….
Amri za Mungu ……
Amri za Kanisa ……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Njeri (Guest) on October 31, 2023

Nakuombea πŸ™

Mercy Atieno (Guest) on October 22, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Elizabeth Mrema (Guest) on October 8, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Emily Chepngeno (Guest) on August 26, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 22, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Nora Lowassa (Guest) on August 15, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Monica Lissu (Guest) on August 8, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Betty Cheruiyot (Guest) on July 12, 2023

Sifa kwa Bwana!

Joseph Kawawa (Guest) on June 20, 2023

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Jacob Kiplangat (Guest) on June 16, 2023

Katika imani, yote yanawezekana

Nora Lowassa (Guest) on May 20, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Raphael Okoth (Guest) on April 24, 2023

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Thomas Mtaki (Guest) on April 23, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Tenga (Guest) on October 30, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Kendi (Guest) on October 21, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Jacob Kiplangat (Guest) on October 8, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Elijah Mutua (Guest) on August 29, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Rose Amukowa (Guest) on July 7, 2022

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Joyce Nkya (Guest) on June 27, 2022

Mungu akubariki!

Francis Njeru (Guest) on June 21, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Benjamin Masanja (Guest) on June 20, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mary Kidata (Guest) on June 15, 2022

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Edith Cherotich (Guest) on April 10, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Mallya (Guest) on February 5, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Charles Wafula (Guest) on October 23, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Joyce Nkya (Guest) on October 5, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Nancy Kabura (Guest) on October 4, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Benjamin Kibicho (Guest) on September 8, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Jane Muthui (Guest) on August 16, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Simon Kiprono (Guest) on June 21, 2021

Amina

Faith Kariuki (Guest) on March 19, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Grace Njuguna (Guest) on February 15, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Mwinuka (Guest) on January 27, 2021

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Victor Sokoine (Guest) on January 21, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Henry Sokoine (Guest) on December 31, 2020

πŸ™πŸ™πŸ™

Jane Malecela (Guest) on July 29, 2020

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Bernard Oduor (Guest) on July 24, 2020

Dumu katika Bwana.

Tabitha Okumu (Guest) on June 14, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Fredrick Mutiso (Guest) on June 12, 2020

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Lydia Wanyama (Guest) on June 12, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Peter Mbise (Guest) on April 2, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Frank Sokoine (Guest) on January 30, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Grace Mushi (Guest) on December 31, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Stephen Malecela (Guest) on December 30, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Janet Sumaye (Guest) on November 3, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Elizabeth Mtei (Guest) on October 7, 2019

Endelea kuwa na imani!

Josephine Nekesa (Guest) on August 19, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Francis Njeru (Guest) on May 6, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ruth Wanjiku (Guest) on April 19, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 17, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Peter Tibaijuka (Guest) on December 9, 2018

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

John Lissu (Guest) on July 9, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Nancy Kabura (Guest) on June 14, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Mary Njeri (Guest) on June 9, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Martin Otieno (Guest) on May 25, 2018

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Robert Ndunguru (Guest) on May 16, 2018

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Grace Mligo (Guest) on May 3, 2018

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Jane Muthoni (Guest) on March 6, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Related Posts

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

πŸ“– Explore More Articles