Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mungu ni nani? Sifa za Mungu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mungu ndiye Muumba wa vitu vyote, katika mbingu na nchi, Mkubwa wa Ulimwengu mwenye kuwtunza watu wema na kuwaadhibu watu wabaya. (Mt: 6:8-9, Yoh 20: 17)
Sifa za Mungu
Mungu ni Muumba wa vitu vyote
Mungu ni Muumba wa vyote maana yake amefanya vitu vyote kwa kutaka tuu pasipokutumia kitu chochote (Yoh. 1:3)
Mungu ni Roho
Mungu ni Roho kamili na ukamilifu wake hauna mpaka na haonekani wala hashikiki. (Yoh. 4:24, Kut 3:13-15, Zb 144:3, Lk: 24:39)
Mungu ni muweza wa yote
Mungu anaweza kufanya kila anachokitaka. (Zab. 135:6)
Mungu ni wa Milele
Hii ina maana Mungu hana mwanzo wala mwisho, amekuwepo kabla ya nyakati, yupo na atakuwepo baada ya nyakati. Yeye ndiye anazifanya nyakati, Yupo daima. (1 Tim, 1:17)
Mungu ni mwema
Maana yake anavipenda na kuvitunza viumbe vyake hasa wanadamu na anavitakia mema tuu (Zab: 25:8-10)
Mungu ni mwenye haki
Kila mtu hupata kwa Mungu Haki yake kadiri na anavyostahili.
Mungu aenea pote
Hii ina maana yupo kila mahali Mbinguni na Duniani, Hakuna mahalia asipokuwepo. (Zab: 139:7-12).
Mungu anajua kila kitu
Mungu anajua yote, ya sasa, ya zamani na ya wakati ujao hata mawazo yetu
Mungu ni mwenye huruma
Anawasamehe watu dhambi zao wakitubu
Mungu ni mwenye subira
Mungu anakawia kuwaadhibu wakosefu maana anataka kuwapa nafasi ya kuongoka. (Eze; 33:11, Zb: 102: 1-5)

Aidha Mungu yupo Mmoja tuu ambayae kwake kuna nafsi Tatu ambazo ni sawa, Baba ni Mungu, Mwana ni Mungu na Roho Mtakatifu ni Mungu. Hli ndilo linaitwa Fumbo la Utatu Mtakatifu. (Lk. 3:21-22)
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Rose Amukowa Guest Jun 27, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ James Kimani Guest Jun 15, 2024
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Andrew Mchome Guest Jun 13, 2024
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest Oct 28, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Chris Okello Guest Oct 8, 2023
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Aug 13, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Feb 11, 2023
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Dec 23, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Dec 1, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ George Mallya Guest Nov 18, 2022
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Nov 4, 2022
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Oct 15, 2022
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Oct 5, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Oct 1, 2022
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Sep 7, 2022
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest May 4, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Apr 8, 2022
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Mar 5, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Jan 27, 2022
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Dec 7, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Aug 4, 2021
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Dec 2, 2020
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest May 10, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Apr 10, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Mar 16, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ James Mduma Guest Nov 15, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Oct 5, 2019
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Aug 6, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Mar 4, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Nov 19, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Stephen Kikwete Guest Sep 20, 2018
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 25, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Robert Okello Guest May 6, 2018
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Apr 13, 2018
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Nov 26, 2017
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Oct 21, 2017
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Aug 30, 2017
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Aug 28, 2017
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Jan 1, 2017
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Nov 16, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Oct 2, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ John Lissu Guest Sep 4, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Jun 26, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest May 16, 2016
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ John Mushi Guest May 5, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Apr 17, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Mar 2, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Nov 25, 2015
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Aug 25, 2015
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Jul 16, 2015
Sifa kwa Bwana!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About