Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kutujaza mapaji saba ya Roho Mtakatifu.

TUOMBE
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, kwa wema na huruma yako ya ajabu, umetaka watu wako waokoke, ukamweka Malaika Mkuu Mikaeli kuwa Mkuu wa Kanisa lako, Utukinge na adui zetu, wasitusmbue saa ya kufa kwetu, bali tuongozwe naye kwenye utukufu wako Mkuu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana Wetu Yesu Kristo. Amina.

Utuombee Ee Mtukufu Mtakatifu Mikaeli Mkuu wa Kanisa la Yesu Kristo, tujaliwe ahadi za Kristo. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Mboya (Guest) on June 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

James Malima (Guest) on June 13, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Thomas Mtaki (Guest) on April 10, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Henry Sokoine (Guest) on March 25, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Grace Njuguna (Guest) on March 9, 2018

Baraka kwako na familia yako.

Michael Onyango (Guest) on December 16, 2017

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Nora Lowassa (Guest) on November 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Margaret Anyango (Guest) on October 30, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Charles Mchome (Guest) on August 10, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

James Kawawa (Guest) on April 23, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Nora Lowassa (Guest) on April 3, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Linda Karimi (Guest) on September 18, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Joyce Aoko (Guest) on September 8, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Majaliwa (Guest) on July 12, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Daniel Obura (Guest) on July 2, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Jane Malecela (Guest) on January 2, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Joyce Mussa (Guest) on December 15, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2015

Sifa kwa Bwana!

Mercy Atieno (Guest) on October 25, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Charles Wafula (Guest) on October 9, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

David Sokoine (Guest) on July 17, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

James Kawawa (Guest) on April 24, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Related Posts

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)