Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Kiwanga (Guest) on June 18, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 31, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on May 31, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on May 14, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 10, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on April 15, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on February 23, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on February 3, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Malisa (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 27, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mahiga (Guest) on December 19, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Otieno (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Robert Okello (Guest) on November 18, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on November 12, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Tabitha Okumu (Guest) on November 9, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Karani (Guest) on November 4, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on October 29, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on October 7, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on September 2, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on September 1, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

John Lissu (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on August 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Francis Mrope (Guest) on May 17, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Elizabeth Mrema (Guest) on May 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Mrope (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zubeida (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Ann Wambui (Guest) on February 17, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on January 9, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on January 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 28, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on December 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on November 21, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Yusuf (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 13, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Shukuru (Guest) on September 3, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

David Chacha (Guest) on August 25, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Kiwanga (Guest) on August 25, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Emily Chepngeno (Guest) on August 25, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 10, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on August 3, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on July 10, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ruth Mtangi (Guest) on July 9, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lydia Wanyama (Guest) on July 4, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakari (Guest) on June 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mazrui (Guest) on June 15, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Bakari (Guest) on May 24, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on May 15, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Masika (Guest) on April 12, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Salima (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Susan Wangari (Guest) on March 16, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bahati (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kenneth Murithi (Guest) on February 26, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on February 20, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on February 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on January 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 17, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More