Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Abdillah (Guest) on February 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on January 23, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Peter Mbise (Guest) on January 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on December 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Omar (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nekesa (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Kevin Maina (Guest) on December 9, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on December 5, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Nyerere (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Betty Kimaro (Guest) on November 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on October 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Charles Mrope (Guest) on October 25, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Mushi (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Zakaria (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Sokoine (Guest) on September 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on September 8, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 27, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Sumari (Guest) on August 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Sokoine (Guest) on August 25, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 20, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Patrick Akech (Guest) on August 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on August 12, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Majaliwa (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 5, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Kevin Maina (Guest) on June 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Akech (Guest) on June 28, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Monica Adhiambo (Guest) on June 18, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Wairimu (Guest) on May 21, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on April 27, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Zubeida (Guest) on March 14, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Azima (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 14, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Fredrick Mutiso (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Majid (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Fadhila (Guest) on January 29, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alice Wanjiru (Guest) on January 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on January 8, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on November 22, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Grace Njuguna (Guest) on November 9, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anthony Kariuki (Guest) on September 20, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on September 15, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Mchome (Guest) on July 25, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mbithe (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Abubakari (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Kawawa (Guest) on April 22, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 4, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Related Posts

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More