Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.

MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Robert Okello (Guest) on June 30, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Raha (Guest) on June 26, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on May 9, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Azima (Guest) on April 23, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on February 8, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on January 30, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Irene Akoth (Guest) on December 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on December 11, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Zawadi (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Raha (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Kitine (Guest) on October 29, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Patrick Akech (Guest) on October 18, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Masika (Guest) on October 3, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jane Muthoni (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mjaka (Guest) on September 3, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on August 22, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 18, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Juma (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine (Guest) on August 11, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on August 6, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on June 13, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on May 26, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on May 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on May 16, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ali (Guest) on April 9, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Richard Mulwa (Guest) on March 25, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on March 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on February 5, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on January 23, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on January 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on January 1, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on December 27, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sofia (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mustafa (Guest) on November 5, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Saidi (Guest) on October 25, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on October 24, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Njoroge (Guest) on October 17, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 10, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Kimani (Guest) on July 28, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Selemani (Guest) on July 19, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on July 11, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 1, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on May 22, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on May 21, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

David Nyerere (Guest) on May 14, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kijakazi (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Michael Mboya (Guest) on May 3, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Wande (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mugendi (Guest) on April 13, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

πŸ“– Explore More Articles