Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.

MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Robert Okello (Guest) on June 30, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Raha (Guest) on June 26, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on May 9, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Azima (Guest) on April 23, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on February 8, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on January 30, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Irene Akoth (Guest) on December 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on December 11, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Zawadi (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Raha (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Kitine (Guest) on October 29, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Patrick Akech (Guest) on October 18, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Masika (Guest) on October 3, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jane Muthoni (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mjaka (Guest) on September 3, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on August 22, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 18, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Juma (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine (Guest) on August 11, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on August 6, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on June 13, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on May 26, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on May 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on May 16, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ali (Guest) on April 9, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Richard Mulwa (Guest) on March 25, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on March 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on February 5, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on January 23, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on January 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on January 1, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on December 27, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sofia (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mustafa (Guest) on November 5, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Saidi (Guest) on October 25, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on October 24, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Njoroge (Guest) on October 17, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 10, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Kimani (Guest) on July 28, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Selemani (Guest) on July 19, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on July 11, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 1, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on May 22, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on May 21, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

David Nyerere (Guest) on May 14, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kijakazi (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Michael Mboya (Guest) on May 3, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Wande (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mugendi (Guest) on April 13, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About