ยท Osha mikono yako kwa sabuni kabla na baada
ya kutayarisha chakula
ยท Tumia vyombo safi na sehemu safi kwa
kutayarisha na kula chakula
ยท Viporo vipashwe moto vizuri kabla ya kula
ยท Chemsha maji ya kunywa na kuyaacha jikoni
dakika kumi baada ya kuchemka

Utayarishaji bora wa chakula
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!