Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Amri ya Saba ya Mungu: Usiibe - Tambua mali ya mtu na kuheshimu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Je, Amri ya Saba ya Mungu inafundisha nini?

Amri ya saba ya Mungu inafundisha kuitambua mali ya mtu na kuiheshimu.


Mali ya mtu ni ipi?

Mali ya mtu ni ile aliyoipata kwa njia halali yaani kwa haki.


Lengo la mali ya binafsi ni lipi?

Kutosheleza mahitaji yake mtu binafsi, ya familia, ya wenye shida na ya kanisa.


Mtu awatendeje wanyama?

Mtu anatakiwa kuwatendea wanyama kwa wema kama viumbe wa Mungu


Amri ya saba ya Mungu inakataza nini?

Inakataza haya;

1. Wizi
2. Kulangua
3. Kutapeli
4. Kughushi
5. Kufuja mali
6. Kutoa au kupokea rushwa
7. Ufisadi
8. Kuharibu mali ya mtu au jamii


Anayejipatia mali kwa njia isiyo ya halali yampasa kufanya nini?

Anayejipatia mali kwa njia isiyo ya halali yampasa kurudisha gharama yake kwa mwenye mali


Anayeharibu mali ya mwingine lazima afanye nini?

Anayeharibu mali ya mwingine lazima alipe hasara aliyosababisha. (Lk 19:8)


Je yatupasa kufanya kazi?

Ndiyo, kwa sababu:

1. Kazi inampa mwanadamu heshima
2. Kufanya kazi ni wajibu wa haki. (Mwa 1:28)


Je ni lazima kuwasaidia masikini na fukara?

Ndiyo, Kuwatendea Masikini mema ni kumtendea Yesu mwenyewe. (Mt 25:40)

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ John Malisa Guest Jul 11, 2024
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Jul 3, 2024
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ John Kamande Guest Jun 24, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Jan 13, 2024
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Oct 17, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Aug 30, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Mary Kidata Guest Aug 27, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Jul 5, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Jun 26, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Apr 27, 2023
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Wilson Ombati Guest Mar 13, 2023
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Feb 15, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Feb 11, 2022
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest Jan 23, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest Jan 20, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Dec 30, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest Nov 26, 2021
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jun 18, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest May 23, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Apr 19, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Joseph Kawawa Guest Apr 13, 2021
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Mar 17, 2021
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest Jan 7, 2021
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ James Kimani Guest Dec 23, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest May 16, 2020
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Mar 4, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Feb 6, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Sep 10, 2019
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Aug 22, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Rose Amukowa Guest Aug 14, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Jan 17, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Jan 15, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Ann Awino Guest Jan 12, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Michael Onyango Guest Oct 16, 2018
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Aug 26, 2018
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Nov 6, 2017
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Sep 19, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Aug 15, 2017
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Apr 16, 2017
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Feb 11, 2017
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ David Chacha Guest Nov 26, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Oct 30, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Oct 19, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest May 29, 2016
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest May 28, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Feb 19, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ James Kawawa Guest Sep 14, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Aug 19, 2015
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Jun 29, 2015
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest May 3, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About