Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Amri ya Sita ya Mungu: Kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Katika Amri ya Sita na Tisa Mungu ametuamuru nini?

Mungu ametuamuru kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu katika ndoa.


Usafi wa Moyo ndio nini?

Usafi wa Moyo ni fadhila ya kiutu, zawadi ya Mungu, neema na tunda la Roho Mtakatifu.


Kwa sababu gani yatupasa kuwa na usafi wa moyo?

Yatupasa kuwa na usafi wa moyo kwa sababu:

1. Mungu awapenda hasa wenye usafi wa moyo. (Mt 5:8)
2. Sisi Wakristo ni Hekalu la Roho Mtakatifu. (1Kor 3:16-17)


Tumekatazwa nini ili tulinde usafi wa moyo?

Tumekatazwa haya;

1. Kutazama mwili kwa Tamaa mbaya na kuvaa vibaya
2. Kusema na kuimba, ngoma zisizo na adabu.
3. Kusikiliza machafu, kucheza michezo mixhafu.
4. Kutenda machafu peke yetu au pamoja na wenzetu. (Efe 5:3)
5. Kusoma vitabu na magazeti machafu na kuangalia picha chafu.


Katika Amri ya Tisa ya Mungu tumekatazwa nini?

Tumekatazwa haya;

1. Kutomtamani mke au mume wa mwingine
2. Kutamani mambo ya zinaa


Dhambi za uchafu huleta hasara gani?

Huleta hasara hizi;

1. Kuharibu usafi wa Moyo na Hekalu la Mungu
2. Huleta Magonjwa duniani na hasara ya baadae. mf UKIMWI. (Efe 5:5)
3. Huvunja amani ya familia
4. Kujijengea mazoea ya uchafu


Tulinde usafi wa Moyo namna gani?

1. Kusali mara dhidi ya kishawishi.
2. Kupokea sakramenti hasa Kitubio na Ekaristi mara nyingi
3. Kuepuka uvivu, ulevi na madawa ya kulevya.
4. Kukimbia nafasi dha dhambi.
5. Kutunza haya au soni
6. Kuwa na mazoea ya kufunga na kujinyima.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 51

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Feb 9, 2024
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Nov 29, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Oct 4, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Nicodemus from Kenya Guest Oct 3, 2023
Good teachings are here. Keep the spirit
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Feb 14, 2023
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Feb 10, 2023
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Feb 7, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Oct 15, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Apr 29, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Dec 5, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Jun 27, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest May 17, 2021
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Apr 28, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Mar 10, 2021
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Jan 27, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Nov 6, 2020
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Oct 25, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ George Tenga Guest Jun 21, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Stephen Kikwete Guest Jun 1, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Nov 18, 2019
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Elizabeth Mtei Guest Aug 17, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Aug 8, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Jul 12, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Jun 28, 2019
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest May 20, 2019
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest Apr 25, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Apr 21, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Feb 21, 2019
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Feb 15, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Jan 30, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Aug 22, 2018
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Aug 5, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Jun 18, 2018
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Andrew Mchome Guest Mar 14, 2018
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Jan 24, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Wilson Ombati Guest Nov 21, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Aug 10, 2017
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Frank Macha Guest May 29, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Apr 26, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Apr 10, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest Mar 9, 2017
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Jan 15, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ George Mallya Guest Dec 28, 2016
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Nov 11, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ David Chacha Guest Nov 7, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Oct 25, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest Oct 4, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Oct 3, 2015
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Sep 3, 2015
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Mary Njeri Guest May 14, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Apr 15, 2015
Mwamini katika mpango wake.

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About