Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mama Bikira Maria alitoa ahadi 15 kwa yule au wale watakaosali Rozari takatifu kila siku. Ahadi hizi aliwapa Mtakatifu Dominic na mwenye heri Alan de la Roche.

1. Yeyote yule atakayesali kwa imani rozari hii takatifu atapokea neema kuu zenye nguvu
2. Naahidi ulinzi wa kipekee na neema za kipekee kwa yule atakayesali rozari hii
3. Rozari itakuwa silaha kubwa dhidi ya nguvu za kuzimu, itaharibu maovu, itapunguza dhambi na kushinda kutofautiana
4. Itafanya fadhila kukua, kazi nzuri kuongezeka, itapatia roho huruma tele toka kwa MUNGU, itaondoa hamu ya wanadamu kupenda mambo ya dunia na majivuno yake na kufanya wapende zaidi mambo ya mbinguni. Ooh, ni kwa namna gani roho hizo zitajifurahisha na kubarikiwa kwa namna hii.
5. Roho zitakazojikabidhi kwangu kwa njia ya kusali rozari, kamwe hazitapotea.
6. Yeyote atakayesali rozari kwa uaminifu huku akiyatafakari matendo makuu ya rozari, kamwe hatashindwa na ubaya. MUNGU hatamwadhibu katika hukumu yake, hatapotea katika kifo asichopangiwa na atabaki katika neema za MUNGU na kustahili kupata uzima wa milele.
7. Yeyote atakayekuwa mwaminifu katika kusali rozari, kamwe hatakufa bila ya kupokea Sakramenti takatifu za Kanisa.
8. Wote watakaokuwa waaminifu katika kusali rozari watadumu katika mwanga wa MUNGU katika maisha yao na saa yao ya kufa na kupata neema zake tele; katika saa yao ya kufa watashiriki fadhila za watakatifu waliopo peponi
9. Nitawatoa toharani wale wote waliokuwa waaminifu katika kusali rozari
10. Watoto wangu waaminifu katika kusali rozari watapata fadhila kuu ya utukufu Mbinguni.
11. Utapata yale yote unayoniomba kwa kusali rozari
12. Wote wale wanaoeneza rozari hii takatifu nitawasaidia katika mahitaji yao
13. Nimepata toka kwa mwanangu Mtukufu kuwa mawakili wote wa rozari takatifu watapata
waombezi toka baraza lote kuu la Mbinguni wakati wa maisha yao na wakati wa saa yao ya kufa.
14. Wote wanaosali rozari hii takatifu ni wanangu, na kaka na dada wa mwanangu wa pekee YESU KRISTO
15. Ibada kwa rozari takatifu ni ishara kuu ya kuelekea ukombozi
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Tibaijuka (Guest) on July 6, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Philip Nyaga (Guest) on April 25, 2024

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Brian Karanja (Guest) on November 19, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 18, 2023

Mungu akubariki!

Joseph Kitine (Guest) on September 9, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Ann Awino (Guest) on April 16, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lucy Mahiga (Guest) on March 23, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Charles Mboje (Guest) on February 24, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Betty Kimaro (Guest) on December 15, 2022

Endelea kuwa na imani!

Michael Onyango (Guest) on September 7, 2022

Mwamini Bwana; anajua njia

Paul Kamau (Guest) on April 21, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Benjamin Kibicho (Guest) on August 23, 2021

Rehema zake hudumu milele

Edward Chepkoech (Guest) on May 24, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Daniel Obura (Guest) on February 1, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Francis Njeru (Guest) on November 16, 2020

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mercy Atieno (Guest) on November 6, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Miriam Mchome (Guest) on September 17, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mrope (Guest) on September 4, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Charles Wafula (Guest) on July 25, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Samson Mahiga (Guest) on April 5, 2020

Nakuombea ๐Ÿ™

Michael Mboya (Guest) on January 25, 2020

Rehema hushinda hukumu

Janet Mwikali (Guest) on October 13, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Simon Kiprono (Guest) on September 15, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Nancy Kawawa (Guest) on August 27, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Rose Mwinuka (Guest) on April 13, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Elizabeth Mrope (Guest) on February 9, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Peter Otieno (Guest) on January 19, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Anthony Kariuki (Guest) on December 29, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Richard Mulwa (Guest) on November 30, 2018

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Paul Kamau (Guest) on October 24, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

James Mduma (Guest) on October 22, 2018

Dumu katika Bwana.

Patrick Mutua (Guest) on September 23, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

John Mwangi (Guest) on July 8, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Paul Ndomba (Guest) on May 10, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Kevin Maina (Guest) on December 7, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Grace Majaliwa (Guest) on March 16, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

David Musyoka (Guest) on January 16, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Joseph Kiwanga (Guest) on October 29, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Grace Minja (Guest) on August 25, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Mary Mrope (Guest) on May 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Betty Akinyi (Guest) on May 22, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Fredrick Mutiso (Guest) on February 20, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Rose Kiwanga (Guest) on January 15, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Patrick Kidata (Guest) on July 5, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Janet Mwikali (Guest) on July 4, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Paul Ndomba (Guest) on June 27, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Rose Kiwanga (Guest) on June 2, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Catherine Mkumbo (Guest) on April 21, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu nguvu za shetani?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu nguvu za shetani?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Shetani ni adui wa Mungu na mwanadamu. Kanisa linakiri kuwepo kw... Read More

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Read More
Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu ... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?

Katika Kanisa Katoliki, watoto wachanga ni baraka kubwa kutoka kwa Mungu. Imani yetu inaamini kuw... Read More

Ijue Ishara ya Msalaba

Ijue Ishara ya Msalaba

Read More
Thamani ya Kazi ya Upadre

Thamani ya Kazi ya Upadre

Read More
Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

Read More
Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema? Jibu ni... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu ya Kikristo yanayoamini katika maisha ya milele. Imani hii n... Read More

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,
wakiwa katikati ya safari yao meli ilianzaRead More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu? Jibu ni Ndio,ย  Swali hili limekuwa likiz... Read More
Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Watu wawili๐Ÿ‘ฌ walikuwa wanakunywa pombe๐Ÿบ๐Ÿป baa. Wakati wanakunywa wakaanza kubishana๐Ÿ™…๐Ÿ... Read More