Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kurani inamtaja mwanamke mmoja tu, tena mara 34: ni Mariamu, mama wa nabii Isa. Akichanganywa na dada wa Haruni na Musa, aliyekuwa na jina hilohilo, anatajwa kama binti Imrani. Pia habari nyingine kadhaa zinapishana na zile za Injili.
Hata hivyo anapewa heshima ya pekee, kama inavyoonekana katika sura ya 3:43: “Na kumbukeni malaika waliposema, ‘Ewe Mariamu, kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuchagua na kukutakasa na kukutukuza kuliko wanawake wa walimwengu”. Tena katika aya 3:46: “Na kumbukeni waliposema malaika: ‘Ewe Mariamu, bila shaka Mwenyezi Mungu anakupa habari njema za Neno litokalo kwake, jina lake Masihi Isa mwana wa Mariamu, mwenye heshima katika dunia na ahera, na yu miongoni mwa waliokaribishwa’”.
Aliambiwa amefanywa “ishara” pamoja na mwanae, ingawa haisemwi ni ishara ya nini. Sura ya 19, yenye jina lake, inaeleza kwamba Malaika Jibrili (Gabrieli) akimpasha habari ya mimba alisema, ‘Hakika mimi ni mjumbe wa Mola wako ili nikupe mwana mtakatifu’. Akasema, ‘Ninawezaje kupata mtoto hali hajanigusa mwanamume yeyote, wala mimi si mwasherati?’ Akasema, ‘Ni kama hivyo; Mola wako amesema: Haya ni rahisi kwangu, na ili tukufanya ishara kwa mwanadamu na rehema itokayo kwetu, na ni jambo lililokwisha hukumiwa’ ” (19:19-21). “Na mwanamke yule aliyejilinda tupu yake na tukampulizia roho yetu na tukamfanya yeye na mwanawe ishara kwa walimwengu” (21:91).
Pamoja na kusifiwa kwa usafi wake, anaongezewa sifa za imani na unyenyekevu: “Na Mariamu binti Imrani aliyejilinda uchi wake, na tukampulizia humo Roho yetu na kayasadikisha maneno ya Mola wake, na vitabu vyake; na alikuwa miongoni mwa wanyenyekevu” (66:12).
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Mallya (Guest) on June 7, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Michael Mboya (Guest) on May 21, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mary Njeri (Guest) on April 7, 2024

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Sarah Achieng (Guest) on February 16, 2024

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Elizabeth Malima (Guest) on December 31, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Josephine Nduta (Guest) on December 31, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Jebet (Guest) on December 10, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

David Musyoka (Guest) on August 27, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alice Wanjiru (Guest) on March 13, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Mary Kendi (Guest) on January 13, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Joseph Kitine (Guest) on December 25, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Anna Kibwana (Guest) on December 7, 2022

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Grace Wairimu (Guest) on October 23, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Victor Kamau (Guest) on October 15, 2022

Dumu katika Bwana.

Joyce Mussa (Guest) on October 12, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Esther Cheruiyot (Guest) on May 31, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Agnes Njeri (Guest) on May 31, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Susan Wangari (Guest) on May 24, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Betty Cheruiyot (Guest) on July 20, 2021

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Brian Karanja (Guest) on June 30, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Alex Nakitare (Guest) on May 26, 2021

Nakuombea 🙏

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Elijah Mutua (Guest) on December 20, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Richard Mulwa (Guest) on November 26, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Mushi (Guest) on October 9, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Sarah Karani (Guest) on September 24, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Samuel Omondi (Guest) on April 30, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Peter Mugendi (Guest) on December 15, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lucy Mahiga (Guest) on August 1, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Joseph Kawawa (Guest) on July 29, 2019

Sifa kwa Bwana!

Susan Wangari (Guest) on July 9, 2019

Mungu akubariki!

Susan Wangari (Guest) on February 18, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Anna Kibwana (Guest) on February 5, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Elijah Mutua (Guest) on January 22, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Michael Mboya (Guest) on October 12, 2018

Endelea kuwa na imani!

Peter Mwambui (Guest) on August 23, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nancy Kawawa (Guest) on May 7, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Jacob Kiplangat (Guest) on April 9, 2018

Rehema hushinda hukumu

David Sokoine (Guest) on November 15, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lucy Wangui (Guest) on July 19, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

David Sokoine (Guest) on February 23, 2017

Rehema zake hudumu milele

Stephen Amollo (Guest) on January 9, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Benjamin Masanja (Guest) on December 28, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Stephen Malecela (Guest) on October 13, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Daniel Obura (Guest) on June 23, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Agnes Njeri (Guest) on March 23, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Faith Kariuki (Guest) on February 17, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Anna Sumari (Guest) on December 20, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Patrick Akech (Guest) on November 27, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Andrew Mchome (Guest) on October 2, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Related Posts

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo... Read More

Ufafanuzi wa Sala ya Baba yetu

Ufafanuzi wa Sala ya Baba yetu

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya sala?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya sala?

Kanisa Katoliki linathamini sana maombi kama sehemu muhimu ya maisha yetu ya kiroho. Imani yetu i... Read More

Huruma ya Mungu: Karama ya Upatanisho na Ukarabati

Huruma ya Mungu: Karama ya Upatanisho na Ukarabati

Karibu kwenye makala hii inayoeleza kuhusu huruma ya Mungu na jinsi karama hii inavyohusiana na u... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu... Read More

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Kama Mkristo, tunaamini kuwa huruma ya M... Read More

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.​

Mata... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Jibu ni ndiyo! Kanisa Kat... Read More

MAFUNDISHO KUHUSU NAFASI YA MAMA BIKIRA MARIA

MAFUNDISHO KUHUSU NAFASI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Read More
Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu

Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ndoa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ndoa?

Karibu katika makala hii ambapo tutajifunza kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya ... Read More

📖 Explore More Articles