Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kurani inamtaja mwanamke mmoja tu, tena mara 34: ni Mariamu, mama wa nabii Isa. Akichanganywa na dada wa Haruni na Musa, aliyekuwa na jina hilohilo, anatajwa kama binti Imrani. Pia habari nyingine kadhaa zinapishana na zile za Injili.
Hata hivyo anapewa heshima ya pekee, kama inavyoonekana katika sura ya 3:43: “Na kumbukeni malaika waliposema, ‘Ewe Mariamu, kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuchagua na kukutakasa na kukutukuza kuliko wanawake wa walimwengu”. Tena katika aya 3:46: “Na kumbukeni waliposema malaika: ‘Ewe Mariamu, bila shaka Mwenyezi Mungu anakupa habari njema za Neno litokalo kwake, jina lake Masihi Isa mwana wa Mariamu, mwenye heshima katika dunia na ahera, na yu miongoni mwa waliokaribishwa’”.
Aliambiwa amefanywa “ishara” pamoja na mwanae, ingawa haisemwi ni ishara ya nini. Sura ya 19, yenye jina lake, inaeleza kwamba Malaika Jibrili (Gabrieli) akimpasha habari ya mimba alisema, ‘Hakika mimi ni mjumbe wa Mola wako ili nikupe mwana mtakatifu’. Akasema, ‘Ninawezaje kupata mtoto hali hajanigusa mwanamume yeyote, wala mimi si mwasherati?’ Akasema, ‘Ni kama hivyo; Mola wako amesema: Haya ni rahisi kwangu, na ili tukufanya ishara kwa mwanadamu na rehema itokayo kwetu, na ni jambo lililokwisha hukumiwa’ ” (19:19-21). “Na mwanamke yule aliyejilinda tupu yake na tukampulizia roho yetu na tukamfanya yeye na mwanawe ishara kwa walimwengu” (21:91).
Pamoja na kusifiwa kwa usafi wake, anaongezewa sifa za imani na unyenyekevu: “Na Mariamu binti Imrani aliyejilinda uchi wake, na tukampulizia humo Roho yetu na kayasadikisha maneno ya Mola wake, na vitabu vyake; na alikuwa miongoni mwa wanyenyekevu” (66:12).
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
👥 Joseph Mallya Guest Jun 7, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
👥 Michael Mboya Guest May 21, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
👥 Mary Njeri Guest Apr 7, 2024
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
👥 Sarah Achieng Guest Feb 16, 2024
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
👥 Elizabeth Malima Guest Dec 31, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
👥 Josephine Nduta Guest Dec 31, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
👥 Alice Jebet Guest Dec 10, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
👥 David Musyoka Guest Aug 27, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
👥 Alice Wanjiru Guest Mar 13, 2023
Imani inaweza kusogeza milima
👥 Mary Kendi Guest Jan 13, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
👥 Joseph Kitine Guest Dec 25, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
👥 Anna Kibwana Guest Dec 7, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
👥 Grace Wairimu Guest Oct 23, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
👥 Victor Kamau Guest Oct 15, 2022
Dumu katika Bwana.
👥 Joyce Mussa Guest Oct 12, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
👥 Esther Cheruiyot Guest May 31, 2022
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
👥 Agnes Njeri Guest May 31, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
👥 Susan Wangari Guest May 24, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
👥 Betty Cheruiyot Guest Jul 20, 2021
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
👥 Brian Karanja Guest Jun 30, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
👥 Alex Nakitare Guest May 26, 2021
Nakuombea 🙏
👥 Ann Wambui Guest Apr 3, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
👥 Elijah Mutua Guest Dec 20, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
👥 Richard Mulwa Guest Nov 26, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
👥 Lucy Mushi Guest Oct 9, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
👥 Sarah Karani Guest Sep 24, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
👥 Samuel Omondi Guest Apr 30, 2020
Mwamini katika mpango wake.
👥 Peter Mugendi Guest Dec 15, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
👥 Lucy Mahiga Guest Aug 1, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
👥 Joseph Kawawa Guest Jul 29, 2019
Sifa kwa Bwana!
👥 Susan Wangari Guest Jul 9, 2019
Mungu akubariki!
👥 Susan Wangari Guest Feb 18, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
👥 Anna Kibwana Guest Feb 5, 2019
Baraka kwako na familia yako.
👥 Elijah Mutua Guest Jan 22, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
👥 Michael Mboya Guest Oct 12, 2018
Endelea kuwa na imani!
👥 Peter Mwambui Guest Aug 23, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
👥 Nancy Kawawa Guest May 7, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
👥 Jacob Kiplangat Guest Apr 9, 2018
Rehema hushinda hukumu
👥 David Sokoine Guest Nov 15, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
👥 Lucy Wangui Guest Jul 19, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
👥 David Sokoine Guest Feb 23, 2017
Rehema zake hudumu milele
👥 Stephen Amollo Guest Jan 9, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
👥 Benjamin Masanja Guest Dec 28, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
👥 Stephen Malecela Guest Oct 13, 2016
Neema na amani iwe nawe.
👥 Daniel Obura Guest Jun 23, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
👥 Agnes Njeri Guest Mar 23, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
👥 Faith Kariuki Guest Feb 17, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
👥 Anna Sumari Guest Dec 20, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
👥 Patrick Akech Guest Nov 27, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
👥 Andrew Mchome Guest Oct 2, 2015
Nguvu hutoka kwa Bwana

🔗 Related Posts

🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About