Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Ufafanuzi wa Sala ya Baba yetu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifanyike
duniani kama mbinguni.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku,
utusamehe makosa yetu,
kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.
Usitutie katika kishawishi,
lakini utuopoe maovuni.
Amina

Ufafanuzi wake uliotumiwa na Fransisko wa Asizi

BABA YETU mtakatifu kabisa: muumba, mkombozi, mfariji na mwokozi wetu.
ULIYE MBINGUNI: katika malaika na katika watakatifu, ukiwaangazia wawe na ufahamu, kwa sababu wewe Bwana ni mwanga; ukiwawasha wawe na upendo, kwa sababu wewe Bwana ni upendo; ukikaa ndani mwao na kuwajaza furaha, kwa sababu wewe Bwana ni wema mkuu kabisa, wema wa milele, ambaye kwako hutoka mema yote, na bila yako hakuna jema.
JINA LAKO LITUKUZWE: ujuzi wetu juu yako uwe wazi zaidi na zaidi, tuweze kujua upana wa baraka zako, urefu wa ahadi zako, kimo cha ukuu wako, kina cha hukumu zako.
UFALME WAKO UFIKE: utawale ndani yetu kwa njia ya neema yako na kutuwezesha kuingia katika ufalme wako ambapo unaonekana kama ulivyo, unapendwa kikamilifu, unatia heri ya kukaa nawe, unatia raha ya kukufurahia milele.
UTAKALO LIFANYIKE DUNIANI KAMA MBINGUNI: tuweze kukupenda kwa moyo wetu wote, kwa kukuwaza wewe daima; kwa roho yetu yote, kwa kukutamani wewe daima; kwa akili yetu yote, kwa kuelekeza nia zetu zote kwako na kwa kutafuta utukufu wako katika yote; kwa nguvu zetu zote pia, kwa kutumia uwezo na hisia zote za roho na mwili katika kuhudumia upendo wako na si chochote kingine; na tuweze kuwapenda majirani wetu kama tunavyojipenda, kwa kuwavuta wote kwa nguvu zetu zote kwenye upendo wako, tukifurahia mema ya wengine kama tunavyofurahia ya kwetu, na tukihuzunika pamoja na wengine kwa mabaya yanayowafikia, bila ya kumuudhi yeyote.
MKATE WETU WA KILA SIKU: Mwanao mpendwa Bwana wetu Yesu Kristo.
UTUPE LEO: kwa ukumbusho, ufahamu na heshima ya upendo ule aliokuwanao kwetu sisi na ya mambo yale ambayo alisema na kutenda na kuteseka kwa ajili yetu.
UTUSAMEHE MAKOSA YETU: kwa huruma yako isiyosemeka, kwa nguvu ya mateso ya Mwanao mpendwa, pamoja na stahili na maombezi ya Bikira mbarikiwa daima na ya wateule wako wote.
KAMA TUNAVYOWASAMEHE NA SISI WALIOTUKOSEA: na lolote tusilosamehe kikamilifu, wewe Bwana utuwezeshe kulisamehe kabisa, tuwapende kweli maadui wetu kwa ajili yako, na tuwaombee kwa bidii mbele zako, bila ya kumlipa yeyote ovu kwa ovu, bali tukijitahidi kumsaidia kila mmoja katika wewe.
NA USITUTIE KATIKA VISHAWISHI: kilichofichika au cha wazi, cha ghafla au cha muda mrefu.
LAKINI UTUOPOE MAOVUNI: yaliyopita, ya sasa na yajayo.
ATUKUZWE BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU KAMA MWANZO, NA SASA NA MILELEAMINA.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Andrew Odhiambo (Guest) on March 13, 2024

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Christopher Oloo (Guest) on February 9, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Minja (Guest) on January 6, 2024

Dumu katika Bwana.

John Mushi (Guest) on December 10, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Stephen Malecela (Guest) on September 25, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Ruth Mtangi (Guest) on May 15, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

George Mallya (Guest) on March 26, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

James Kimani (Guest) on March 20, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Elizabeth Malima (Guest) on January 17, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Henry Sokoine (Guest) on January 12, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Frank Sokoine (Guest) on January 2, 2023

Rehema hushinda hukumu

Betty Akinyi (Guest) on December 1, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Hellen Nduta (Guest) on November 22, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 23, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Elizabeth Mrope (Guest) on July 22, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Joseph Kitine (Guest) on April 10, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Lucy Mushi (Guest) on March 4, 2022

Rehema zake hudumu milele

Lydia Mahiga (Guest) on December 25, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Edward Chepkoech (Guest) on November 12, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Mercy Atieno (Guest) on September 16, 2021

Endelea kuwa na imani!

Samuel Were (Guest) on June 26, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Janet Sumari (Guest) on June 22, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Mariam Kawawa (Guest) on January 26, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Philip Nyaga (Guest) on January 19, 2021

Mungu akubariki!

Susan Wangari (Guest) on November 4, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Elizabeth Malima (Guest) on October 19, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Rose Waithera (Guest) on August 28, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

George Tenga (Guest) on July 20, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Charles Mboje (Guest) on June 12, 2020

Baraka kwako na familia yako.

Lydia Mutheu (Guest) on April 29, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Joseph Kitine (Guest) on March 14, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Victor Mwalimu (Guest) on November 27, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Monica Adhiambo (Guest) on November 25, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Betty Cheruiyot (Guest) on October 21, 2019

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Anna Mahiga (Guest) on October 11, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

David Sokoine (Guest) on June 20, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Emily Chepngeno (Guest) on March 9, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Faith Kariuki (Guest) on September 7, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Michael Mboya (Guest) on August 7, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Peter Otieno (Guest) on May 27, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

Benjamin Kibicho (Guest) on April 7, 2018

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Thomas Mtaki (Guest) on January 1, 2018

Sifa kwa Bwana!

Catherine Naliaka (Guest) on September 9, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Victor Kimario (Guest) on July 23, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Anna Sumari (Guest) on May 17, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Richard Mulwa (Guest) on May 4, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Carol Nyakio (Guest) on February 28, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Sokoine (Guest) on October 9, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Samuel Were (Guest) on September 22, 2015

Nakuombea 🙏

Andrew Mahiga (Guest) on September 12, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Related Posts

Siri ya kamba nyekundu

Siri ya kamba nyekundu

Miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa Yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba, jina lake Rah... Read More

Mafundisho (Dogma) ya Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria

Mafundisho (Dogma) ya Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria

Read More
MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

Read More

Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Muumbaji wa penseli alipomaliza kuiumba penseli yake aliiambia mambo muhimu ya kuzingatia ili iwe... Read More

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Karibu kwenye makala hii ambayo in... Read More

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo... Read More

Uelewa wa namba katika Biblia

Uelewa wa namba katika Biblia

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofa... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ndoa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ndoa?

Sakramenti ya Ndoa ni muhimu sana katika Kanisa Katoliki. Kwa mujibu wa imani ya Kanisa, ndoa ni ... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema?

Leo tutajadili kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema. Kwa Wakatoliki, msamaha ... Read More

Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso

Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso

Kuomba huruma ya Mungu ni njia ya upatanisho na utakaso ambayo inawezesha mwamini kusafishwa kuto... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Habari za leo kwa wapenzi wa Yesu Kristo? Leo nitapenda kuzungumzia kuhusu imani ya Kanisa Katoli... Read More

📖 Explore More Articles
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About