Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Thamani ya Kazi ya Upadre

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
UPADRE NI KAZI YA PEKEE YA HEKIMA, UWEZO NA MAPENDO YA UMUNGU WA KRISTU. KAMWE USIMSHAMBULIE PADRE. "Yesu Maria na Yosefu nawapenda, ziokoeni Roho. KUMTETA PADRE [Haya ni maelezo ya Bwana wetu kwa Mutter Vogel.] " Kamwe mtu asimshambulie Padre hata anapokuwa katika makosa badala yake umwombee na fanya toba ili niweze kumpa tena NEEMA.
Ni yeye peke yake anaye niwakilisha mimi hata awe haishi kulingana na mimi. Endapo Padre anaanguka tumnyoshee mkono wa msaada kwa njia ya SALA na sio KUMSHAMBULIA. Ni mimi pekee nitakuwa HAKIMU wake si mwingine ila mimi". "Mtu yeyote anapotamka HUKUMU dhidi ya padre ananihukumu mimi".ย 

Mwanangu kamwe usiruhusu padre ashambuliwe, jitahidi kuwa upande wake na umtetee". Mwanangu kamwe usimhukumu mwungamishi wako bali umwombee sana na tolea KOMUNIO TAKATIFU kwa ajili yake, kila siku ya ALHAMISI kupitia MIKONO au MAMA YANGU MTUKUFU.ย 

Tena kamwe usikubali neno lolote la kumdhalilisha Padre na kusema neno baya dhidi yake (yao), HATA KAMA INGELIKUWA NI KWELI! Kila Padre ni WAKILI wangu na moyo wangu utahuzunika na kusikia uchungu kwa ajili hiyo. Usikiapo HUKUMU dhidi ya Padre, sali SALAMU MARIA. Umwonapo Padre anayeadhimisha MISA TAKATIFU akiwa katika halo isiyostahili, usiongee nae lolote kumhusu yeye bali nieleze mimi tu! Huyo huwa nasimama naye ALTERANI". " Oh waombeeni mapadre wangu ili watamani USAFI NA WEUPE WA ROHO kuliko jambo lolote ili waweze kutolea sadaka TAKATIFU kwa moyo na mikono iliyotakata. Ni ukweli kwamba Misa ni ile ile hata ikiadhimishwa na Padre mwenye hali isiyostahiki lakini NEEMA zinazowashukia watu sio zile zile. [MARIA, MALKIA WA MAPADRE UWAOMBEE.]
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Mariam Kawawa Guest Jul 4, 2024
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mzindakaya Guest Dec 21, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Patrick Kidata Guest Dec 20, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Joy Wacera Guest Dec 15, 2023
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Mary Njeri Guest Nov 5, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Joyce Aoko Guest Sep 29, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Linda Karimi Guest Jan 20, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ George Wanjala Guest Jul 31, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Grace Majaliwa Guest Jun 8, 2022
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Benjamin Masanja Guest Jan 29, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Jan 10, 2022
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Janet Wambura Guest Mar 18, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mahiga Guest Dec 11, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ John Lissu Guest Nov 30, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Henry Sokoine Guest Nov 28, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Agnes Lowassa Guest Oct 12, 2020
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Joyce Mussa Guest Oct 7, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Faith Kariuki Guest Sep 25, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Lydia Wanyama Guest Aug 15, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kawawa Guest Aug 7, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Charles Mchome Guest May 16, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ John Malisa Guest Jan 11, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ David Musyoka Guest Oct 24, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Peter Mugendi Guest Jul 28, 2019
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ James Malima Guest Jun 23, 2019
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mwakalindile Guest Apr 6, 2019
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Robert Okello Guest Mar 14, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mtaki Guest Feb 13, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Martin Otieno Guest Dec 30, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Joyce Nkya Guest Oct 1, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Charles Mboje Guest Aug 20, 2018
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Lydia Wanyama Guest Jun 23, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Edith Cherotich Guest Mar 4, 2018
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Charles Mrope Guest Feb 23, 2018
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Peter Otieno Guest Dec 24, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Bernard Oduor Guest Jul 4, 2017
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Victor Kamau Guest Apr 4, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Alex Nakitare Guest Jan 8, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Elijah Mutua Guest Jan 8, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Mary Kendi Guest Dec 14, 2016
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Francis Mrope Guest Dec 3, 2016
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Victor Kimario Guest Sep 14, 2016
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Irene Akoth Guest Aug 13, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Andrew Odhiambo Guest May 18, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Lucy Kimotho Guest Dec 10, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Tabitha Okumu Guest Aug 20, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Diana Mallya Guest Aug 18, 2015
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Francis Mrope Guest Jul 11, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Vincent Mwangangi Guest Jun 6, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Victor Sokoine Guest May 22, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About