Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Ninapoingia kanisani nachovya maji ya baraka na kusema;
"Unitakase Ee Bwana mimi na uovu wangu wote, ili nipate kustahili kushiriki ibada takatifu' Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu" Amina!
Ninapiga goti huku nikisema
"Mungu wangu na Bwana wangu"
๐Ÿ™‹๐ŸฝNikiinuka nasema
"Nitakusifu na kukuabudu katika Ekaristi takatifu"
๐Ÿ™‹๐ŸฝNaenda mpaka kwenye bench, napiga magoti au nakaa nikiwa mimeinamisha kichwa (kama mabenchi yameisha nabaki nimejisimamia) huku nikitoa nia yangu ya kusali misa siku hiyo, mfano
"Ee Mungu, ninaungana nawe na jeshi lote la mbinguni, pamoja na Mama Bikira Maria, nikiwa na nia ya kumwombea mama yangu ambaye ni mgonjwa, jirani yangu ambaye mpaka sasa hatuelewani na pia familia yetu ambayo haina amani, Mungu kupitia misa hii rejesha hali ya mama yangu, rejesha uelewano na jirani yangu, na pia rejesha amani ya familia yetu pamoja na familia zote ambazo hazina amani"
๐Ÿ™‹๐ŸฝNinaendelea na misa na Kushiriki litrujia kikamilifu
๐Ÿ™‹๐ŸฝWakati wa komunyo nikikumbuka kuwa nina dhambi kubwa huwa nakominika kwa sala ya tamaa wala siendi mbele, huwa najikalia tu kwenye bench naangalia wenye moyo safi wanaenda mbele kumpokea Yesu (Kweli huwa najisikia wivu sana, itanibidi katikati ya wiki nifanye kitubio ili nisikae tena)"
๐Ÿ™‹๐ŸฝMwisho wakati wa kuondoka nachovya maji ya baraka nikisema
"Unilinde Ee Mwenyezi Mungu, nikapate kuwa mfano katika jamii yangu, na nikushuhudie katika matendo yangu"
(Hapo nachovya maji ya baraka na kufanya ishara ya msalaba) "Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu, amina"
Usiku mwema wapendwa. Malaika awalinde
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mahiga Guest Jul 19, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ George Mallya Guest Jul 13, 2024
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Stephen Mushi Guest Jan 20, 2024
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Nancy Akumu Guest Nov 20, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Frank Sokoine Guest Nov 4, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Sep 30, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Catherine Naliaka Guest Sep 18, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ John Mwangi Guest Jun 7, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Ruth Wanjiku Guest Apr 2, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Lucy Kimotho Guest Jan 18, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Andrew Mahiga Guest Nov 16, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Brian Karanja Guest Nov 16, 2022
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Oct 11, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Peter Mbise Guest Jun 10, 2022
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ David Ochieng Guest Apr 19, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Stephen Mushi Guest Dec 25, 2021
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Grace Njuguna Guest Sep 15, 2021
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Robert Okello Guest Jul 7, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Jul 1, 2021
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Rose Kiwanga Guest Jun 21, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Joy Wacera Guest Jun 21, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Samuel Omondi Guest Apr 21, 2021
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ George Ndungu Guest Nov 12, 2020
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Andrew Odhiambo Guest Jul 23, 2020
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Anna Malela Guest Jul 17, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ James Malima Guest Dec 26, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Fredrick Mutiso Guest Sep 25, 2019
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Benjamin Masanja Guest Aug 6, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Mary Mrope Guest Jun 10, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Rose Lowassa Guest Mar 17, 2019
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest Jan 10, 2019
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mwakalindile Guest Nov 19, 2018
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Fredrick Mutiso Guest Nov 15, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Rose Waithera Guest Oct 3, 2018
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Carol Nyakio Guest Sep 10, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Kenneth Murithi Guest Aug 25, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Nancy Kabura Guest Jul 27, 2018
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Vincent Mwangangi Guest Oct 26, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Jackson Makori Guest Jun 6, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Samson Tibaijuka Guest May 17, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mtaki Guest Sep 29, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Betty Kimaro Guest Jul 6, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Alice Wanjiru Guest Jun 27, 2016
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Hellen Nduta Guest Apr 14, 2016
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mwakalindile Guest Apr 8, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Nancy Akumu Guest Nov 13, 2015
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Alice Wanjiru Guest Oct 25, 2015
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ George Wanjala Guest Jun 9, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Benjamin Masanja Guest May 20, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Victor Sokoine Guest May 5, 2015
Tumaini ni nanga ya roho

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About